Waandishi wa habari wana sehem kubwa ya kuvuruga amani! Mfn wa hii katuni, mtu na akili zake atawezaje kuweka hum hali vyama jumla vilikuwa zaidi ya sita?why cdm vs ccm alafu cuf ndo kambeba ccm?huu ni uchochezi wa hali ya juu sana!kama tendwa yupo lazima aseme maana yake ni nini hii!
Kwa kweli huu sasa ni uchokozi. Mie simo