Kilichosababisha Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya Hai kujiuzulu hiki hapa

NgugiAchebe

JF-Expert Member
Jul 11, 2016
1,025
688
Imeelezwa kuwa miongoni mwa sababu zilizopelekea Mwenyekiti wa Chadema huko HAI kujiuzulu, ni kutokana na kukerwa na utaratibu wa Mwenyekiti wa Chama hicho, Freeman Mbowe katika kuwafanya wenzake kama watoto. Amesema mara ya kwanza mwenyekiti huyo alisema Kiongozi atakayekwamisha operesheni UKUTA atakiona, watu wakajiandaa lakini mwisho wa siku aliyetoa hivyo vitisho ndiye aliyeikwamisha operesheni hiyo.

Baadae tena ametangaza operesheni mpya hivi majuzi na ametoa onyo tena kuwa kiongozi atakayekwamisha atakiona. Mwenyekiti huyo aliyejiuzulu anasema KUENDELEA kushiriki miradi
ya mtu mmoja ktk chama ni kukosa dira na ajenda ndani ya chama.

Mwenyekiti huyo amehoji kuwa UDIKTETA tuliokuwa tukiupinga mpaka kuanzisha UKUTA umemalizika?? Je kama bado kwanini tunaanzisha kitu kipya ilihali cha kwanza hakijafanya kazi yake? Au tuliwadanganya watanzania kuwa kuna Udikteta kumbe
hakuna!!!? ...............

Viongozi wa upinzani huenda wote wanatumika bila wafuasi kujua, Mbona wanatuvunja moyo hivi?

Au Mimi ndio huwa siwaelewi
 
Nchi hii inavichekesho na vituko vingi ndio maana huwa sishabikii siasa uchwara za nchi hii, kwa upinzan wameanzisha kwa mfano UKUTA kabla ya kufanikisha walichopanga kinafutwa kinaleta kingine ambacho pia utekelezaji wake unatia mashaka the same kwa chama tawala kiongoz mmoja anatoa tamko kesho anatokea mwingine analipinga ama kulizuia sasa huwa najiuliza hawa watu kwel wako serious ama njaa ndio zinawafanya waingie kwenye siasa na sio uzalendo kama wanavyotaka waonekane kwenye jamii
 
Imeelezwa kuwa miongoni mwa sababu zilizopelekea Mwenyekiti wa Chadema huko HAI kujiuzulu, ni kutokana na kukerwa na utaratibu wa Mwenyekiti wa Chama hicho, Freeman Mbowe katika kuwafanya wenzake kama watoto. Amesema mara ya kwanza mwenyekiti huyo alisema Kiongozi atakayekwamisha operesheni UKUTA atakiona, watu wakajiandaa lakini mwisho wa siku aliyetoa hivyo vitisho ndiye aliyeikwamisha operesheni hiyo.

Baadae tena ametangaza operesheni mpya hivi majuzi na ametoa onyo tena kuwa kiongozi atakayekwamisha atakiona. Mwenyekiti huyo aliyejiuzulu anasema KUENDELEA kushiriki miradi
ya mtu mmoja ktk chama ni kukosa dira na ajenda ndani ya chama.

Mwenyekiti huyo amehoji kuwa UDIKTETA tuliokuwa tukiupinga mpaka kuanzisha UKUTA umemalizika?? Je kama bado kwanini tunaanzisha kitu kipya ilihali cha kwanza hakijafanya kazi yake? Au tuliwadanganya watanzania kuwa kuna Udikteta kumbe
hakuna!!!? ...............

Viongozi wa upinzani huenda wote wanatumika bila wafuasi kujua, Mbona wanatuvunja moyo hivi?

Au Mimi ndio huwa siwaelewi
Nahisi mtoa mada hii na baadhi ya wachangiaji wapo ktk chumba kimoja muda huu
 
Walipoahirisha UKUTA kwa Mara ya Pili walisema wanaihamishia Kimataifa lakin sasa wamekuja na igizo jipya la kata funua na Lowassa anapongeza kuruhusiwa Mikutano ya Ndani na kuzuiwa ya Hadhara!
 
Mazingira ya kuwndesha ukuta yalikuwa magumu sana wala hilo sitamlaumu kwa kushindwa
Hii kata funua wala siielewi ina maanisha nini ila kwa vyovyote hilo jina halina mvuto wala hamasa
 
Mazingira ya kuwndesha ukuta yalikuwa magumu sana wala hilo sitamlaumu kwa kushindwa
Hii kata funua wala siielewi ina maanisha nini ila kwa vyovyote hilo jina halina mvuto wala hamasa
 
Ulitaka damu imwagike ?Kuahirisha UKUTA kunaungwa mkono na watanzania wote kwani sio kila kudai haki lazima damu imwagike.
 
Usimwamin tena Mbowe... Anatumika na ccm...

Rejea migomo ya wapinzani aliyoongoza bungeni isiyo na tija na ambayo ilinufaisha ccm kwa kupitisha miswada na hoja pasipo kupingwa.

Hizo opereshen au kampen ni danganya toto...

Mbowe ni kikwanzo ndani ya chadema...
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom