Kilichosababisha Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya Hai kujiuzulu hiki hapa

Wewee! Kamuulize alokutuma kama umemwelewa au la? Usilete tena uzi wa kipuuzi kama huo hapa. Sema kafika bei kama professorial ambaye hajali kutukanwa wala nini kisafina bei. Na wenyewe wanaotaka brn yao. Chezea bei wewe ? Kwani u prof si cheti tu hata nursery graduates wana pesa vyeti
 
Walipoahirisha UKUTA kwa Mara ya Pili walisema wanaihamishia Kimataifa lakin sasa wamekuja na igizo jipya la kata funua na Lowassa anapongeza kuruhusiwa Mikutano ya Ndani na kuzuiwa ya Hadhara!
Siasa za Chadema siku hizi hata hazieleweki. Wamelia weee kuzuiwa mikutano na sasa hivi wanampongeza rais kwa kuwazuia, hata kama wanabeza lakini watambue watanzania wamewasikia na wanashindwa kuwaamini.

1. Fulani fisadi, baada ya mda unamtangaza kuwa msafi na anafaa kuwa rais wa nchi.
2. Kuzuia mikutano ni udikteta, baada ya mda unasifia maamuzi ya kuzuiwa kwa mikutano.
Hawa jamaa wamechanganyikiwa hawajui washike tawi lipi, ndiyo maana wengine wanaishia kwenye unabii sijui uganga wa kienyeji.
 
Mbowe kipindi fulani alikuwa na skendo ya kupokea fedha kwa rostam na nimrod ili kupunguza harakati za chadema kushinda ktk harakati za uchaguzi wa ubunge....

Mbowe huyo huyo leo yupo na sumaye na lowasa.... Na inasemekana alipata bil 10 ktk harakati za uchaguzi 2015...

Kipo kitu nyuma ya pazia..
 
Upinzani kama upinzani hauwezi kudumu na mbinu moja tu. Leo watakuwa hivi na kesho inabidi wabadilike. Unayemsubiri Mbowe kuwa stagnant nakupa pole. Wote mnasema Chadema ni Saccos mnakosea sana. Kwanza lazima muelewe na kutambua tofauti kati ya ccm na chadema.
CCM ina privileges zote kiserikali kwa maana ya uongozi, fedha, majengo, dola, usafiri na nyingine nyingi. Chadema hawana vyote hivi. Leo hii CCM inapiga mikutano na kufanya siasa kwa mlango wa wakuu wa mikoa, mawaziri, rais, wakuu wa wilaya nk wakati chadema hata mikutano yao na matamko yao hufuatiliwa na jeshi la polisi kwa maana ya kubanwa vilivyo. Kwa hili Mbowe huko sahihi kabisa na furaha yangu tu ni jinsi anavyomudu nafasi yake.
Mbowe pekee ndiye aliyefanikiwa kupiga hatua kutoa chama katika ngazi ya chini hadi kuipaiisha na kuwa chama kikuu cha upinzani. Walianza na wabunge wachache sana na leo hii wanatishia kuchukua nchi. Swali kubwa la kujiuliza ni vipi wamilki majiji kama Mbeya na A rush a ? Kuna Miji mingi tu wanamiliki na hiyo yote inaoonesha kuwa watanzania wanawaelewa.
Huyo mwenye kiti wa Hai, naona amekosa tu uvumilivu na kusahau majukumu yake. Upinzani siyo lelemama. Anatakiwa kuwaomba radhi watanzania
 
Upinzani kama upinzani hauwezi kudumu na mbinu moja tu. Leo watakuwa hivi na kesho inabidi wabadilike. Unayemsubiri Mbowe kuwa stagnant nakupa pole. Wote mnasema Chadema ni Saccos mnakosea sana. Kwanza lazima muelewe na kutambua tofauti kati ya ccm na chadema.
CCM ina privileges zote kiserikali kwa maana ya uongozi, fedha, majengo, dola, usafiri na nyingine nyingi. Chadema hawana vyote hivi. Leo hii CCM inapiga mikutano na kufanya siasa kwa mlango wa wakuu wa mikoa, mawaziri, rais, wakuu wa wilaya nk wakati chadema hata mikutano yao na matamko yao hufuatiliwa na jeshi la polisi kwa maana ya kubanwa vilivyo. Kwa hili Mbowe huko sahihi kabisa na furaha yangu tu ni jinsi anavyomudu nafasi yake.
Mbowe pekee ndiye aliyefanikiwa kupiga hatua kutoa chama katika ngazi ya chini hadi kuipaiisha na kuwa chama kikuu cha upinzani. Walianza na wabunge wachache sana na leo hii wanatishia kuchukua nchi. Swali kubwa la kujiuliza ni vipi wamilki majiji kama Mbeya na A rush a ? Kuna Miji mingi tu wanamiliki na hiyo yote inaoonesha kuwa watanzania wanawaelewa.
Huyo mwenye kiti wa Hai, naona amekosa tu uvumilivu na kusahau majukumu yake. Upinzani siyo lelemama. Anatakiwa kuwaomba radhi watanzania

Umeleza vizuri sana, kuwa mpinzani E.Africa ni zaidi ya kuwa gerezani.
 
Harrison Justine upo sahihi kwa namna moja hama nyingne maana sifa hupewa kiongozi kwa juhudi zake...

lakini wapo wabunge ambao wamepata ubunge kwa juhudi na sifa zao binafsi, lakini wanapunguzwa nguvu na wamekuwa kmya baada ya ujio wa lowasa, kingunge na sumaye...
 
Mu mwenye uwezo wa kawaida tu wa kufikiri hawezi kuiunga mkono chadema
Ndio maana wale 1/4 weengi wanapenda chadema
 
Mtu asiye na shule anawaburuza wasomi aibu sana!
Bilashaka yeye ndiye mwenyekiti wa kudumu wa chadema!
Ukuta ilimgusa hata yeye maana nae ni miongoni mwa madikteta.

Ukitaka kuishi chadema kwa raha fuata maagizo ya mwenye chama, kama huamini uliza yaliyomkuta Dr. Slaa!
 
Umeleza vizuri sana, kuwa mpinzani E.Africa ni zaidi ya kuwa gerezani.



Ni kweli lakini pia viongozi wa upinzani wa enzi hizi sio kama wale wa enzi za uhuru.
Hawa wa sasa hivi wanalenga pesa na kutumia chama kwa ajili ya anasa.

Enzi hizo TANU pamoja na umaskini wa wanachama wake lakini kiliweza kujenga maofisi ya kuendeshea shughuli za kisiasa . Cha ajabu leo hii chama kikuu cha upinzani chenya wanachama zaidi ya mil. 2 lakini hakina OFISI.
Kuna wenyeviti wengi wanatumia nyumba zao kama ofisi za kuendesha shughuli za chama.
Ndio maana wanaamua kuzira na kujitoa.

Wapinzi hawajui umuhumu wa vyama vyao kumiliki majengo yao wenyewe. Mpaka watakapogundua umuhimu wake ndipo watakapokuwa na vyama vya kitaasisi.
Huwezi kusikia mwenyekiti akikimbia chama chenye ofisi na anuani.

Chadema waanze kujiimarisha kwa kujenga ofisi kuanzia ngazi za kijiji mpaka Taifa.
Haiingii akilini kuona kuwa mwenyekiti wa mkoa na katibu wake wa chama hawana jengo la ofisi linalomilikiwa na chama.Lakini Viongozi wa kitaifa wanaenda kula bata ulaya na vikao vya maneno maneno huko ulaya

Nawashauri Chadema sasa Watafute eneo Dodoma wajenge makao makuu ya Chama.Mbowe abadilike na kuje na mtizamo wa kujenga miundo Mbinu ya chama. Siasa za CCM sio za kutoto.
CCM itajimaliza yenyewe sio kwa mikwara ya Mbowe kwa walioko chini yake.
 
Back
Top Bottom