Kilichopo nyuma ya pazia Wema Sepetu kujiunga na Wasafi

Uzuri ruge huwa haongei......
Nadhani muda Ndio utaamua na Ndio utakuja kuwa mwisho wa mmoja wapo!

Ruge ameshatukiswa sana na Ant- virus na Vinega Mara TID Mara Rubi na wengine Wengi!

Na wabongo huwa wanaushabiki wa muda hasa nikiangalia hao waliokuwa wanapambana na clouds walipongezwa sana ila muda Ndio uliamua!

Nadhani Diamond angefikiri vizuri na wanaomzunguka wangemshauri vizuri ila bahati mbaya hawaoni hili ingawa siungi mkono hicho ambacho huwa wanalamika kusema clouds inawanyonya( kama ni kweli)

Muda ni hakimu wa kweli
Ruge hajawahi kutikiswa kama hivi..Ruge anapitia magumu sana now
 
Bashite ndiye mastermind wa michezo ya kutekana na kupigana risasi. Afadhali ukose mwana kuliko kumzaa Bashite.
Umenena vema sana Mkuu..

Tatizo naloliona ni moja kubwa..

There's no a single move/mission that has been geared by Bashite ambayo imewahi kufanikiwa..

Iwe nzuri au mbaya, he is the best failure!

Ngoja tuone hii.
 
Well said wanacheza mchezo mchafu lakini mwisho upo na utakuwa mbaya sana. huyo Bashite ni zero brain atashindanda na mtu mwenye ujuzi wapi na wapi.. but all in all acha awanyooshe hao Clouds walijibeba sana kwa hilo FALA.

Huyu ndio maana hata hana mbegu haki alivuruga mahusiano kwa kumwozesha Zama houseboy ambaye hata hadhubtu kupiga nae pic now amehamia kwingine haki God is watching you BASHITE
Zamaradi kweli kitambo sijaona akipiga picha na mumewe..yaani kuwa proud with her hubby..maana ana ndoa
 
natamani watu wangejua kati ya diamond,fella,sallam au tale kuna mmoja ana akili sana tena sana...itoshe tu kusema kumuangusha diamond si kitu kidogo...diamond ni taasisi sio tu msanii wa bongofleva tena ni taasisi inayokua kwa kasi....
Sallam ofcoz
 
Zamaradi kweli kitambo sijaona akipiga picha na mumewe..yaani kuwa proud with her hubby..maana ana ndoa


Sidhani hata haitakaa itokee she is not happy at all nakwamabia............... amebaki kuwapost watoto wa Ruge.. kuna siku alimtolea mtu mmoja povu huko insta baada ya kumwambia so hubby ndio dereva wa watoto kwenda shule na kurudi....... povu lake halikuwa la nchi hii
 
mshana jr nilisikia kuwa Zari as a bisnesswoman alitamani kumcontrol na kumnyanyua Dai ila kikwazo kilikuwa mtu mmoja ambaye ndiye alikuwa anammilk Dai tumuite R. R kina anapoona Zari anajidhatiti, yeye anamleta Wema na kuonesha wanarudiana na Dai. Kawa vile Zari ana wivu sana, inabidi awe busy na kuhakikisha Wema hasogelei Dai na dili za R zinapeta. Je, haiwezekani ukawa ni mkakati wa R nao huo?
Umejificha nyuma ya keyboard tena na ID fake still unaongea mafumbo, wanaume wa dar mkoje?
 
Sidhani hata haitakaa itokee she is not happy at all nakwamabia............... amebaki kuwapost watoto wa Ruge.. kuna siku alimtolea mtu mmoja povu huko insta baada ya kumwambia so hubby ndio dereva wa watoto kwenda shule na kurudi....... povu lake halikuwa la nchi hii
Kufanya maamuzi kwa akili za kushikiwa
 
Huu ni ukweli kabisa nakumbuka mimi nilimfollow zari before hajawa na Diamond nilikuwa napenda anavoishi vile mafirst class tu anapanda dadeki na kipindi hicho alikuwa na followers wachache instagram


Sasa baada ya kuanza kudate na diamond na hapo watu wakaanza kumjua zaidi! Nampenda yule mdada ila sioni kama yeye ndo kampa mafanikio diamond! NAKATAA
Of course, hata nami nam-feel.

Tatizo wengine wanataka ukipenda kitu ndo basi tena ujitie upofu!! Umaarufu wa Zari umepanda maradufu baada ya kukutana na Diamond kuliko ilivyokuwa kabla! Na hata wanamjua sana Zari majority wamemjua baada ya kuanzisha uhusiano na Diamond.

Ni wachache sana waliokuwa kama wewe ambao walim-Follow hata b4 ya Diamond na ndio maana unafahamu graph yake ya umaarufu!
 
Of course, hata nami nam-feel.

Tatizo wengine wanataka ukipenda kitu ndo basi tena ujitie upofu!! Umaarufu wa Zari umepanda maradufu baada ya kukutana na Diamond kuliko ilivyokuwa kabla! Na hata wanamjua sana Zari majority wamemjua baada ya kuanzisha uhusiano na Diamond.

Ni wachache sana waliokuwa kama wewe ambao walim-Follow hata b4 ya Diamond na ndio maana unafahamu graph yake ya umaarufu!
Huo ndo ukweli na wengi hawapendi kujua kwa sababu ya mateam yao ya huko instagram
 
Back
Top Bottom