Ruge hajawahi kutikiswa kama hivi..Ruge anapitia magumu sana nowUzuri ruge huwa haongei......
Nadhani muda Ndio utaamua na Ndio utakuja kuwa mwisho wa mmoja wapo!
Ruge ameshatukiswa sana na Ant- virus na Vinega Mara TID Mara Rubi na wengine Wengi!
Na wabongo huwa wanaushabiki wa muda hasa nikiangalia hao waliokuwa wanapambana na clouds walipongezwa sana ila muda Ndio uliamua!
Nadhani Diamond angefikiri vizuri na wanaomzunguka wangemshauri vizuri ila bahati mbaya hawaoni hili ingawa siungi mkono hicho ambacho huwa wanalamika kusema clouds inawanyonya( kama ni kweli)
Muda ni hakimu wa kweli