makoye2009
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,638
- 1,218
Majjid,Majjid,Majjid???
Nashangaa kwanini mpaka sasa hivi hujatafuta kamba ujitundike kulingana na mila zenu za kihehe. Kwamba una hasira sana na Dk.Slaa pamoja na wafuasi wake yaani wana CHADEMA.
Ndugu yangu Majjid naona unazidi kuongea pumba siku baada ya siku. Kadri uchaguzi unavyokaribia wewe na JK wako na mafisadi wenzenu mnazidi kujichanganya na kuongea utumbo tu mbele ya Watanzania.
Hi mhe. Majjid wewe ulisomea wapi hiyo taaluma yako ya Uandishi wa habari? Yaani taaluma ya UANDISHI WA HABARI WA KUGANGA NJAA. UANDISHI WA HABARI WA KUNUNULIWA NA KUAMBIWA UANDIKE NINI. UANDISHI WA HABARI WA KUMFURAHISHA BOSI WAKO.UANDISHIWA HABARI WA KUSEMA UONGO.UANDISHI WA HABARI WA KINAFIKI. !!!!!!!!!!!!!!
Kadri nijuavyo hakuna chuo kama hicho popote duniani kinachotoa cheti cha namna hiyo. WEWE NI KWAMBA UMENUNULIWA NA CCM,UMEHONGWA FULANA,KOFIA,T-SHIRT,NA SHILINGI 2,000 ZA ULANZI AU KOMONI ILI UIANDIKE VIZURI CCM NA MADUDU YA UFISADI,WIZI,UBAGUZI NA ULAGHAI ULIOKO NDANI YA CCM.
Huo ni ujuha ambao hakuna Mtanzania mwenye akili timamu anaweza kukubaliana nao.
Mimi nakwambia kuwa hebu chukua mkanda wa 'SARAFINA' uuangalie usikie wale vijana wa ki-SOUTH au Bondeni kwa mzee Madiba walivyokuwa wakiimba kwa mori na jazba: "FREEDOM IS COMING TOMORROW". kabla ya Mandela kuwekwa huru.Yes, I can say now with confidence; Freedom is coming tomorrow for all Tanzanians. After 5 decades(50yrs) of miserable life,years of suffering,years of begging,years of hunger and thirsty,years of poor education, poor health facilities, poor economy,poor living,poor tec,etc, the chain is too long and Majjid you know these things but you pretends as if you don't know these things which are happening around you. Your hehe brothers and sisters are suffering, they have no good supply of water, they have no good health facilities at your Regional Hospital,your children are sitting on the floor,they have no text books,they have no uniforms, they have no laboratories, they have no exercise books,their parents including you can't afford to purchase even one. Go to those schools you call it Ward Secondary schools(shule za kata) No teachers, no nothing. Mr. Majjid, are you blind in such a way you can't see these things? Surely you aren't. You are just pretending to be blind,but you know the truth and all those facts! The problem with you is that you are CCM puppet to the core. You are writing inept/nonsense informations/propagandas to make your CCM and JK happy so that at the end of the day you gonna earn your daily bread.
Take note, I have said and I am saying once again,freedom is coming tomorrow! If this 2010 General Election will be FREE AND FAIR to its real meaning of free and fair, then CCM have no match!
Wasaalamu.
Nashangaa kwanini mpaka sasa hivi hujatafuta kamba ujitundike kulingana na mila zenu za kihehe. Kwamba una hasira sana na Dk.Slaa pamoja na wafuasi wake yaani wana CHADEMA.
Ndugu yangu Majjid naona unazidi kuongea pumba siku baada ya siku. Kadri uchaguzi unavyokaribia wewe na JK wako na mafisadi wenzenu mnazidi kujichanganya na kuongea utumbo tu mbele ya Watanzania.
Hi mhe. Majjid wewe ulisomea wapi hiyo taaluma yako ya Uandishi wa habari? Yaani taaluma ya UANDISHI WA HABARI WA KUGANGA NJAA. UANDISHI WA HABARI WA KUNUNULIWA NA KUAMBIWA UANDIKE NINI. UANDISHI WA HABARI WA KUMFURAHISHA BOSI WAKO.UANDISHIWA HABARI WA KUSEMA UONGO.UANDISHI WA HABARI WA KINAFIKI. !!!!!!!!!!!!!!
Kadri nijuavyo hakuna chuo kama hicho popote duniani kinachotoa cheti cha namna hiyo. WEWE NI KWAMBA UMENUNULIWA NA CCM,UMEHONGWA FULANA,KOFIA,T-SHIRT,NA SHILINGI 2,000 ZA ULANZI AU KOMONI ILI UIANDIKE VIZURI CCM NA MADUDU YA UFISADI,WIZI,UBAGUZI NA ULAGHAI ULIOKO NDANI YA CCM.
Huo ni ujuha ambao hakuna Mtanzania mwenye akili timamu anaweza kukubaliana nao.
Mimi nakwambia kuwa hebu chukua mkanda wa 'SARAFINA' uuangalie usikie wale vijana wa ki-SOUTH au Bondeni kwa mzee Madiba walivyokuwa wakiimba kwa mori na jazba: "FREEDOM IS COMING TOMORROW". kabla ya Mandela kuwekwa huru.Yes, I can say now with confidence; Freedom is coming tomorrow for all Tanzanians. After 5 decades(50yrs) of miserable life,years of suffering,years of begging,years of hunger and thirsty,years of poor education, poor health facilities, poor economy,poor living,poor tec,etc, the chain is too long and Majjid you know these things but you pretends as if you don't know these things which are happening around you. Your hehe brothers and sisters are suffering, they have no good supply of water, they have no good health facilities at your Regional Hospital,your children are sitting on the floor,they have no text books,they have no uniforms, they have no laboratories, they have no exercise books,their parents including you can't afford to purchase even one. Go to those schools you call it Ward Secondary schools(shule za kata) No teachers, no nothing. Mr. Majjid, are you blind in such a way you can't see these things? Surely you aren't. You are just pretending to be blind,but you know the truth and all those facts! The problem with you is that you are CCM puppet to the core. You are writing inept/nonsense informations/propagandas to make your CCM and JK happy so that at the end of the day you gonna earn your daily bread.
Take note, I have said and I am saying once again,freedom is coming tomorrow! If this 2010 General Election will be FREE AND FAIR to its real meaning of free and fair, then CCM have no match!
Wasaalamu.