mbenda said
JF-Expert Member
- Apr 13, 2019
- 1,019
- 1,944
Habari wana jf poleni na pilika pilika za kila siku,
Naombeni MSAADA wa jambo hili tafadhali,
Kuna mdada ana umri wa miaka 30 alikuwa hajawai kufanya tendo na toka avunje ungo alikuwa hajapata elimu ya usafi hasa ukeni kwa hiyo alikuwa hajawai kujisafika ndani ya uke kama wafanyavyo wanawake hujisafisha kwa kuingiza kidole.
Alipokuja kufanya tendo hakujisikia hisia zozote na mazingila anayoishi ilishindikana kumpeleka hospitali, mnaishi na mama yake hatoki bila ruhusa na hospitali anatumia kadi ya bima lakini pia hiyo hospitali wanayotibiwa familia inajulikana kwa hiyo akienda pale atatibiwa kwa kutumia bima lakini pia mama ataambiwa mwanae anachoumwa na hawezi kwenda hospitali nje ya ile, baada ya kuafanya utafiti ikagundulika anaumwa fangasi ukeni kwake tukamnunulia dawa za hospitali na za kisuna, ametumia amemaliza dozi.
Kilichonileta hapa ni kuomba kama kuna dawa ambayo mwanamke akinywa anapata hamu za mapenzie ndani ya Dk 5-30 naomba mnitajie kwa ili tujue kama mgonjwa amepona ashiriki tendo.
Yeye mara nyingi anasema hayupo tayari anaogopa maumivu kwa sababu alikuwa akifanya tendo anapata maumivu lakini pia uke unavimba na alikuwa hajisikii chochote lakini ute alikuwa unatoka mwingi.
MSAADA tafadhali wajuvi
Sent from my itel S11 using JamiiForums mobile app
Naombeni MSAADA wa jambo hili tafadhali,
Kuna mdada ana umri wa miaka 30 alikuwa hajawai kufanya tendo na toka avunje ungo alikuwa hajapata elimu ya usafi hasa ukeni kwa hiyo alikuwa hajawai kujisafika ndani ya uke kama wafanyavyo wanawake hujisafisha kwa kuingiza kidole.
Alipokuja kufanya tendo hakujisikia hisia zozote na mazingila anayoishi ilishindikana kumpeleka hospitali, mnaishi na mama yake hatoki bila ruhusa na hospitali anatumia kadi ya bima lakini pia hiyo hospitali wanayotibiwa familia inajulikana kwa hiyo akienda pale atatibiwa kwa kutumia bima lakini pia mama ataambiwa mwanae anachoumwa na hawezi kwenda hospitali nje ya ile, baada ya kuafanya utafiti ikagundulika anaumwa fangasi ukeni kwake tukamnunulia dawa za hospitali na za kisuna, ametumia amemaliza dozi.
Kilichonileta hapa ni kuomba kama kuna dawa ambayo mwanamke akinywa anapata hamu za mapenzie ndani ya Dk 5-30 naomba mnitajie kwa ili tujue kama mgonjwa amepona ashiriki tendo.
Yeye mara nyingi anasema hayupo tayari anaogopa maumivu kwa sababu alikuwa akifanya tendo anapata maumivu lakini pia uke unavimba na alikuwa hajisikii chochote lakini ute alikuwa unatoka mwingi.
MSAADA tafadhali wajuvi
Sent from my itel S11 using JamiiForums mobile app