Kilichomwangusha Chibu Dangote BET 2016 ni hiki

Baba jayaron

JF-Expert Member
Jun 29, 2015
4,007
5,445
Habari,

Ni masikitiko yangu makubwa kuikosa Tuzo hii ya kimataifa kupitia msanii wetu pekee na Brand ya Afrika mashariki.
Bila kupoteza muda
Na hizi ni sababu zilimfanya Chibu Dangote

1) Hakuwa na kazi inayoeleweka ambayo ingemfanya aongeleke au jina lake lizunguke vichwani mwa watu

2) Kumanage wasanii kwake limekua pigo kubwa maana imemfanya aache kusonga mbele akiamini amefika na ni muda wa kusaidia wengine.

3) Kukosa baraka za mzazi mwenzake mama Tiffah kutokana na usaliti aliomfanyia mwenzake.

4) Kurise up kwa Alikiba.

5) Kuridhika na mafanikio

Hivyo Chibu ajipange upya upya ili arudi kwenye mstari.
 
Habari,

Nimasikitiko yangu makubwa kuikosa Tunzo hii yakimataifa kupitia msanii wetu pekee na brand ya Afrika mashariki.
Bila kuooteza muda
Na hizi ni sababu zilimfanya chibu dangote

1) hakua na kazi inayoeleweka anbayo ingemfanya aongeleke au jina lake lizunguke vichwan mwa watu

2) kumanage wasanii kwake limekua pigo kuubwa maana imemfanya aache kusongombele akiamini amefika na ni muda wa kusaidia wengine.

3) kukosa baraka za mzazi mwenzake mama tiffah kutokana na usaliti alionfanyia mwenzake.

4) kurise up kwa Alikiba.

5) kuridhika na mafanikio

Hivyo chibu ajipange upya upya ili arudi kwenye mstari.
Kwa haya uliyoandika jiandae kwa mvua ya matusi,wanakuja soon kwanza waamke na wengine watoke kanisani....
 
Mhh hapo kwenye Kazi zinazoweza kuongeleka kimataifa nimekuelewa. Sababu zingine naona chenga
 
Sbabu ambayo inaleta mantiki kidogo ni ya kwanza. Zingine zote porojo zako tu. Siku zote kwenye ushindani yupo mshindi mmoja. Msanii mwingine aliyekuwa akipewa nafasi kubwa ni Wizkid. Mbona naye kapigwa chini na ana kazi nyingi tu Kimataifa?
 
Habari,

Nimasikitiko yangu makubwa kuikosa Tunzo hii yakimataifa kupitia msanii wetu pekee na brand ya Afrika mashariki.
Bila kuooteza muda
Na hizi ni sababu zilimfanya chibu dangote

1) hakua na kazi inayoeleweka anbayo ingemfanya aongeleke au jina lake lizunguke vichwan mwa watu

2) kumanage wasanii kwake limekua pigo kuubwa maana imemfanya aache kusongombele akiamini amefika na ni muda wa kusaidia wengine.

3) kukosa baraka za mzazi mwenzake mama tiffah kutokana na usaliti alionfanyia mwenzake.

4) kurise up kwa Alikiba.

5) kuridhika na mafanikio

Hivyo chibu ajipange upya upya ili arudi kwenye mstari.
HIVI nyie wanaume wa dar kimewakuta nini???? asubuhi yote hii umeamka na kumuwaza chibu
 
Zote naweza kukusapoti, ila No. 4 naaah!!! Zingekuwa tuzo za Kilimanjaro No 4 ingeleta maana.
 
Habari,

Nimasikitiko yangu makubwa kuikosa Tunzo hii yakimataifa kupitia msanii wetu pekee na brand ya Afrika mashariki.
Bila kuooteza muda
Na hizi ni sababu zilimfanya chibu dangote

1) hakua na kazi inayoeleweka anbayo ingemfanya aongeleke au jina lake lizunguke vichwan mwa watu

2) kumanage wasanii kwake limekua pigo kuubwa maana imemfanya aache kusongombele akiamini amefika na ni muda wa kusaidia wengine.

3) kukosa baraka za mzazi mwenzake mama tiffah kutokana na usaliti alionfanyia mwenzake.

4) kurise up kwa Alikiba.

5) kuridhika na mafanikio

Hivyo chibu ajipange upya upya ili arudi kwenye mstari.
Hapo no 3 kamfanyia usaliti gani Bibi?
 
ab990b395a5f50907a99609077662fc0.jpg
umeandika umbeya bira kufanya uchunguzi,kama umefanya uchunguzi umeandika kwa chuki zakijinga sana.

Haya kama baraka ni izo hapo alizipata kwa mama tiffah.uo usaliti unaousema wewe kaufanya diamond ni upi? Kwa nani? Lini? Wapi? weka ushaidi usiandike kwa kusoma magazeti ya WEMBE na SHIGONGO.
Ndugu makalio
ukike wa uandishi wangu ni upi??
 
hivi we ulieandika uzi huu una akili
naomba unijibu unaakili kweli
kurise kwa ali kiba na bet wap na wap umeambiwa hizi ni tuzo za kili kwan...
Halafu blessing za mzaz mwenziwe na kura wap na wap....
Sema kula ndo hazijatosha na sio sababu zako zisizo eleweka apa pambafu yako

Team Chibu tunajazba saana aiseh,

Sa skia kuibuka kwa Alikiba kumepunguza attention ya Chibu kwani wengi wameanza kumfuatilia kiba coz alikua na hit song kwa kipindi hiki, pia
Shombo za chibu juu ya leble ya kiba pia imepunguza moyo wa kum vote, mbaya zaidi ile chapuo aliyoifanya kiba ndio iliyoharibu kabisaaa.

Panua bichwa ilo nikuingize material
 
Back
Top Bottom