Kilichomtokea Mjapan ipo siku kitamtokea Muajemi Iran

Kwa maana hiyo unataka kusema vita ambavyo Marekani alipagana Afghanistani na kusababisha mauaji ya watu wengi,watu wale walikuwa na hatia,au vita vilivyopiganwa Iraq na watu wengi kufa,watu wale walikuwa na hatia ?
Jibu ndio,au hapana,no story.
Siku zote huwa nasema na nitaendelea kusema hata mnipige ban nitasema tu V.U hamnaga kitu kichwani! Yani ni zero
.
America huwa anaenda kupambana na civilians au kulinda civilians pamoja na kuangamiza magaidi kwa namna moja ama nyingine?
We unadhani kukinuka hapa TZ hawatokuja?
V.U kuweni na akili hata ndogondogo
 
Siku zote huwa nasema na nitaendelea kusema hata mnipige ban nitasema tu V.U hamnaga kitu kichwani! Yani ni zero
.
America huwa anaenda kupambana na civilians au kulinda civilians pamoja na kuangamiza magaidi kwa namna moja ama nyingine?
We unadhani kukinuka hapa TZ hawatokuja?
V.U kuweni na akili hata ndogondogo
Takataka tupu.
Huwa nasema huwa nasema,hao magaidi waliopo Iran ni wapi ?
Kama hoja ni magaidi,ugaidi wa Taliban umeisha lini ?
Wakati wa kufikiria,shirikisha sana kichwa chako na ubongo.
Q number one ,jiongeze.
 
Takataka tupu.
Huwa nasema huwa nasema,hao magaidi waliopo Iran ni wapi ?
Kama hoja ni magaidi,ugaidi wa Taliban umeisha lini ?
Wakati wa kufikiria,shirikisha sana kichwa chako na ubongo.
Q number one ,jiongeze.
Shit!
 
Nimekuwa nikiona watu wengi wakipiga makelele hapa nyuma ya keyboard zao za sim kwenye jukwaa hili.

Lakini niwakumbushe tu kipindi kile Mjapan alikuwa ana nguvu za kutisha na mmarekani alikuwa katulia tu, baada ya mjapan kuvamia Pearl Harbour na kufanya uharibifu mkubwa kilichomtokea nadhani mnajua, na kipindi kile dunia haikupata majibu kwamba mmarekani kapata wapi ile tecnolojia ya yale makombora ya atomic bomb aliyoyadondosha Japan.

Hata leo hii naamini Mmarekani ana silaha nzito tena advanced lakini katulia tu na kutokana na kasi ya uchumi wa dunia hataki kujiingiza kwenye garama za vita ambazo zitasababisha hasara na vifo vya watu wasio na hatia, lakini hizi chokochoko zinazoendelea ipo siku watashindwa kuvumiliana na kitakachomtokea Muiran kitakuwa ni surprise kama ile ya Hiroshima.

Muda utaongea, hatutaki vita tinaiombea dunia amani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na hiyo vita tuombe ije kupigwa ndani ya ardhi ya marekani ili nao waonje utamu wa vita

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiroshima hayakuwa makombora yalikuwa mabomu
Nimekuwa nikiona watu wengi wakipiga makelele hapa nyuma ya keyboard zao za sim kwenye jukwaa hili.

Lakini niwakumbushe tu kipindi kile Mjapan alikuwa ana nguvu za kutisha na mmarekani alikuwa katulia tu, baada ya mjapan kuvamia Pearl Harbour na kufanya uharibifu mkubwa kilichomtokea nadhani mnajua, na kipindi kile dunia haikupata majibu kwamba mmarekani kapata wapi ile tecnolojia ya yale makombora ya atomic bomb aliyoyadondosha Japan.

Hata leo hii naamini Mmarekani ana silaha nzito tena advanced lakini katulia tu na kutokana na kasi ya uchumi wa dunia hataki kujiingiza kwenye garama za vita ambazo zitasababisha hasara na vifo vya watu wasio na hatia, lakini hizi chokochoko zinazoendelea ipo siku watashindwa kuvumiliana na kitakachomtokea Muiran kitakuwa ni surprise kama ile ya Hiroshima.

Muda utaongea, hatutaki vita tinaiombea dunia amani.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ili kuweka kumbukumbu sawa, labda nami nikukumbushe kwamba, ni Wajerukani Otto Hahn, Fritz Strassman, na Lise Meitner wakiwa kwenye lab yao huko Berlin Ujerumani, ndio waliogundua nuclear fission. Ni baada ya Mjerumani mwingine, Otto Frisch kutoa habari za ugunduzi wao kwa mshikaji wake mwingine, huyo mshikaji nae akampa taarifa mshikaji wake mwingine ni Mmarekani! Na hapo ndipo US walipopata hiyo teknolojia!

Na hata uanzishwaji wa Manhattan Project, Project ambayo ndiyo ilitengeneza hayo mabomu yaliyotumiwa na US huko Japan, uanzishwaji huo ulitokana na hofu ya Marekani kwamba Ujerumani inatumia wataalamu wake kutengeneza silaha zinazotumia teknolojia ya nyuklia.

Na kimsingi hofu hii ya Marekani ilikuwa sahihi manake wakati Manhattan Project inakuwa authorized, Wajerumani tayari walikuwa wameshaanza! Na ilibidi Marekani waanzishe covert op chini ya Manhattan Project ambayo ilihakilisha ina-gather intelligence info kuhusu maendeleo ya Ujerumani kwenye kutengeneza nyukilia weapons! Na inasemekana operation hii iliyofahamika kama Alsos Mission, ilikuwa inafanya hadi hujuma dhidi ya German na nuclear project yao.

Lakini labda kutokana na uhaba wa resources, Wamarekani project yao ikawa successful mapema zaidi wakimwacha Mjerumani mgunduzi wa Nuclear Fission!

Kwahiyo sio sahihi kwamba baada ya US kuachia kitu pale Japan, dunia ikawa inajiuliza Mmarekani katoa wapi hiyo teknolojia! Waliokuwa wanajiuliza ni kama mimi na wewe, lakini kwa wataalamu wenyewe walifahamu teknolojia imezaliwa Ujerumani!
Wewe uache uongo wakati mwengine!!!..eti waliiba technology Germany
 
Ili kuweka kumbukumbu sawa, labda nami nikukumbushe kwamba, ni Wajerukani Otto Hahn, Fritz Strassman, na Lise Meitner wakiwa kwenye lab yao huko Berlin Ujerumani, ndio waliogundua nuclear fission. Ni baada ya Mjerumani mwingine, Otto Frisch kutoa habari za ugunduzi wao kwa mshikaji wake mwingine, huyo mshikaji nae akampa taarifa mshikaji wake mwingine ni Mmarekani! Na hapo ndipo US walipopata hiyo teknolojia!

Na hata uanzishwaji wa Manhattan Project, Project ambayo ndiyo ilitengeneza hayo mabomu yaliyotumiwa na US huko Japan, uanzishwaji huo ulitokana na hofu ya Marekani kwamba Ujerumani inatumia wataalamu wake kutengeneza silaha zinazotumia teknolojia ya nyuklia.

Na kimsingi hofu hii ya Marekani ilikuwa sahihi manake wakati Manhattan Project inakuwa authorized, Wajerumani tayari walikuwa wameshaanza! Na ilibidi Marekani waanzishe covert op chini ya Manhattan Project ambayo ilihakilisha ina-gather intelligence info kuhusu maendeleo ya Ujerumani kwenye kutengeneza nyukilia weapons! Na inasemekana operation hii iliyofahamika kama Alsos Mission, ilikuwa inafanya hadi hujuma dhidi ya German na nuclear project yao.

Lakini labda kutokana na uhaba wa resources, Wamarekani project yao ikawa successful mapema zaidi wakimwacha Mjerumani mgunduzi wa Nuclear Fission!

Kwahiyo sio sahihi kwamba baada ya US kuachia kitu pale Japan, dunia ikawa inajiuliza Mmarekani katoa wapi hiyo teknolojia! Waliokuwa wanajiuliza ni kama mimi na wewe, lakini kwa wataalamu wenyewe walifahamu teknolojia imezaliwa Ujerumani!
Kuweka records sawa.
Teknologia ya nyuklia alizindua mjerumani, roketi aligundua mjerumani na hata waanzilishi Wa Kennedy space center na waanzilishi Wa NASA ni wale wajerumani waliohamia marekani baada ya Vita ya pili ya dunia. Mjerumani kupitia Hitler alikuwa mbali sana sana ila vita vilimshusha.

Vyote kwa Vyote vita ilisaidia kukuza teknologia sana na hata uvumbuzi mkubwa duniani unatokana na vita.

Nawakilisha
 
Wewe uache uongo wakati mwengine!!!..eti waliiba technology Germany
Angalieni Lofa hili! Mimi nimekuwekea hadi majina ya wagunduzina nchi wanayotoka, wewe unaishia tu kusema eti mimi ni muongo bila kutaja ukweli ni upi! Usilete mijadala ya Facebook hapa! Kama unaona mimi muongo, weka hapa majina ya wagunduzi wa Nuclear Fission, na nchi wanazotoka!
 
Kuweka records sawa.
Teknologia ya nyuklia alizindua mjerumani, roketi aligundua mjerumani na hata waanzilishi Wa Kennedy space center na waanzilishi Wa NASA ni wale wajerumani waliohamia marekani baada ya Vita ya pili ya dunia. Mjerumani kupitia Hitler alikuwa mbali sana sana ila vita vilimshusha.

Vyote kwa Vyote vita ilisaidia kukuza teknologia sana na hata uvumbuzi mkubwa duniani unatokana na vita.

Nawakilisha
Kuna Mburula mmoja hapo juu anabisha kwamba teknolojia ya nuclear haikugunduliwa na Mjerumani lakini cha ajabu, hataji ni nani mgunduzi!
 
Iran hana uwezo wa kumpiga Israel. Mwaka 1967 kama sikosei waarabu wote walimchangia Muisrael lakini waarabu walikipata cha mtema kuni
Mkuu ile vita Israeli angepigwa mapema tu sema waarabu walishindwa kujipanga , wakakusanya ndege zote Misri, Mu-Israeli akazifanyia shambulio LA gafla, wakawa hawana pa kutokea kwa upande Wa anga, Israeli akalitawala anga lote la Mashariki ya kati na ndo ukawa ilushindi wake.
 
Super power wa dunia in trend
1.Warumi
2.Wajerumani
3.Wamarekani
4.Wachina(yellow people)
Sasa tuko namba tatu.
Ila kama sio upuuzi wa Adolf Hitler utawala wake uliomfanya moja ya wagunduzi wa Atomic bomb Albert Einstein muisraeli kukimbia Ujerumani kuhamia Marekani na kitendo chake cha kuuwa waisraeli million 6.Leo hii Ujerumani ndio ingekuwa super power Marekani nyuma.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ile vita Israeli angepigwa mapema tu sema waarabu walishindwa kujipanga , wakakusanya ndege zote Misri, Mu-Israeli akazifanyia shambulio LA gafla, wakawa hawana pa kutokea kwa upande Wa anga, Israeli akalitawala anga lote la Mashariki ya kati na ndo ukawa ilushindi wake.
Pia israel ilipewa back up ya kufa mtu na UK&US.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ile vita Israeli angepigwa mapema tu sema waarabu walishindwa kujipanga , wakakusanya ndege zote Misri, Mu-Israeli akazifanyia shambulio LA gafla, wakawa hawana pa kutokea kwa upande Wa anga, Israeli akalitawala anga lote la Mashariki ya kati na ndo ukawa ilushindi wake.
Hapo ndiyo ufundi wenyewe wa kivita!
 
Back
Top Bottom