Taraifa hii utaletewa si muda mrefu ,lakini kuwa ufupi tu Peter Msolla aliingilia maslahi ya jasusi wa shirika la Irani Rostam Azizi,Profesa peter msolla alipopeleka mswada wa sheria kwenye baraza la mawaziri ilikupata baraka ya kupitishwa uliokuwa ukiyataka makampuni yote ya mawasiliano pamoja na simu kuweka bayana mapato yao ikiwemo kampuni inayomilikiwa na Rostam Aziz vodacom ambayo anamiliki hisa asilimia sitini ya hisa zote kwenye kampuni hiyo.
Mswada ule ulipata baraka kwa baraza la mawaziri,Jk Rais asiye jiamini anayemtegemea Rostam Aziz na Edward Lowassa kutwala nchi kwakuwa anawaogopa na kweli anawaogopa tunajua ,na tunajua lakini profesa msolla akaitwa na Jakaya Kikwete kwa wakati mwingine weweze kubadili baadhi ya vipengele ili kuwalinda majambazi wezi wakubwa hao wa makampuni ya simu .ambao wanabadili majina ya kampuni kila baada ya miaka mitano ,msolla kwa uadilifu wake alipingana na ushauri wa bosi wake kikwete akakataa kufanya tofauti na vile baraza la mawaziri walivyopitisha mswaada huyo .
Nawambia watanzania Rostam Aziz ni jasusi hamtaki kunielewa huyu mtu anaivuruga nchi ,subirini taarifa kamili
Mswada ule ulipata baraka kwa baraza la mawaziri,Jk Rais asiye jiamini anayemtegemea Rostam Aziz na Edward Lowassa kutwala nchi kwakuwa anawaogopa na kweli anawaogopa tunajua ,na tunajua lakini profesa msolla akaitwa na Jakaya Kikwete kwa wakati mwingine weweze kubadili baadhi ya vipengele ili kuwalinda majambazi wezi wakubwa hao wa makampuni ya simu .ambao wanabadili majina ya kampuni kila baada ya miaka mitano ,msolla kwa uadilifu wake alipingana na ushauri wa bosi wake kikwete akakataa kufanya tofauti na vile baraza la mawaziri walivyopitisha mswaada huyo .
Nawambia watanzania Rostam Aziz ni jasusi hamtaki kunielewa huyu mtu anaivuruga nchi ,subirini taarifa kamili