Kudo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 1,809
- 6,081
Nadhani tufike mahali tusilazimishe kila mtu aone watawala waliopita au waliopo ni miungu watu na hawahitaji kukosolewa ama kusemwa kulingana na mtizamo wa watu.
Nadhani kinachomponza Lisu ni kusimamia ukweli katika utawala wa Chamadola kinachoongoza serikali na si chama tawala cha serikali.
Hicho ndo kitu pekee kinachomponza Lisu kwa sasa ila sio mitazamo yake kuhusu watawala waliopita basi kama ndivyo hata kule visiwani kusingekuwa na watu mana wote wangeshaponzwa kwa kuuzungumzia muungano batili
Nadhani kinachomponza Lisu ni kusimamia ukweli katika utawala wa Chamadola kinachoongoza serikali na si chama tawala cha serikali.
Hicho ndo kitu pekee kinachomponza Lisu kwa sasa ila sio mitazamo yake kuhusu watawala waliopita basi kama ndivyo hata kule visiwani kusingekuwa na watu mana wote wangeshaponzwa kwa kuuzungumzia muungano batili