mwisho2016
JF-Expert Member
- Jun 27, 2016
- 724
- 625
Fundisho kuu, kwa msiba utakao ikumba familia ya Mwl aliyemchapa mtoto had kufariki ni muhimu kwa wanaume wengi.
Mkoba sio wako, kiherehere kimemponza. Tabia ya wanaume hata mmi nilojikuta nagundua nikikuta mwanamke anatatizo najibaragua kumsaidia ndicho kilichomkuta jamaa Mwl Respicius.
Unamkuta mwanamke gari imeharibika unamsaidia, sawa msadie lkn hii tabia wanaume inatuponza sana.
Mwl was kike angeshtakiwa yeye isingekuwa kifo kwa kuwa asingemuua mtoto.
Majumbani mwetu tunawachapa watoto wetu had kuwaumiza, wengi tungekuwa tunashtakiwa Taarifa zingekuwa zinafika vituo vya polisi, tofauti ma while watoto wanachapwa kwa ajili ya kuwaadabisha lakin so kutaflka sifa.
Mkoba sio wako, kiherehere kimemponza. Tabia ya wanaume hata mmi nilojikuta nagundua nikikuta mwanamke anatatizo najibaragua kumsaidia ndicho kilichomkuta jamaa Mwl Respicius.
Unamkuta mwanamke gari imeharibika unamsaidia, sawa msadie lkn hii tabia wanaume inatuponza sana.
Mwl was kike angeshtakiwa yeye isingekuwa kifo kwa kuwa asingemuua mtoto.
Majumbani mwetu tunawachapa watoto wetu had kuwaumiza, wengi tungekuwa tunashtakiwa Taarifa zingekuwa zinafika vituo vya polisi, tofauti ma while watoto wanachapwa kwa ajili ya kuwaadabisha lakin so kutaflka sifa.