gollocko
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 2,945
- 2,275
Lakini kaka Ghazwat, si ndio sheria inavyotaka? Au mharifu hana haki kisheria?IPTL jinsi ulivyoiletea shida na kugonga siasa za nchi hii, ilikuwa si wakati wa kutafuta maoni ya wananchi kwa ajili ya kutaka kuongezea mkataba.