Bin Maryam
JF-Expert Member
- Oct 22, 2007
- 685
- 13
it's so absurd and indeed defies logic for our dear President to attend such an event whose motives are not clear.Were it a musical concert for fundraising to help the hungry and poor and the sick and JK asked being a guest of honor for the event ingeeleweka,yaani ingekuwa kama ile ya USA 1984 for Ethiopia,hapo hata angepiga picha na kina Beyonce,Rihanna,J.Lo,Eve,Lady Saw,Foxy Brown et al ingeeleweka...
Or was it to fulfil a long held dream and make true of his alias "Boyz II Men"?Please JK may you be serious for a moment?History will record all that you are doing now and as Bob Marley put it"time will tell..."
Sina mpango na JK lakini inaonyesha watu mna matatizo. Kama kitu ukielewi jifunze kwanza kabla kutoa maoni. Uki-google utapata taarifa nyingi kuhusu hiyo organization.
Organization inaunganisha wamarekani weusi na nchi za kiafrika. Yeye amealikwa na waandalizi waliandaa Boyz to Men. Kama waandalizi wangetoa mwaliko kwa John Komba basi na angepiga picha na John Komba.
Hata viongozi waliokuwa bize na kuacha kujirusha mbona wametuacha masikini?