Kilichomlazimisha Rostam kula matapishi yake ni hiki

Zak Malang

JF-Expert Member
Dec 30, 2008
5,404
233
Wanajamvi:

Nimekuwa najiuliza ilikuwaje Rostam kutinga Igunga katika kampeni za CCM na huku alishasema hataki tena 'siasa uchwara' za CCM? lakini baada ya kutafakari sana inakuwaje mtu huyu mwenye jeuri kubwa sana ya pesa (alizotuibia) kula matapishi yake mwishowe nikajikuta nina jibu: huenda ni kwa sababu alitishwa na vyombo vya dola vinavyomilikiwa na serikali ya CCM, vyombo ambavyo mara kadha vimekuwa vikitumika ili kuwaweka viongozi mstarini.

Navyoona mimi Rostam alitishwa kwamba akishikilia kukipa mgongo chama hicho basi huenda vyombo vya sheria vikaanza kumshughulikia kwa dhati kutokana na ufisadi na wizi wake. Akajikuta hana namna isipokuwa kupiga magoti na kula matapishi yake.

Mtindo huu CCM wanautumia sana katika kujiweka mstarini.
 
<b><span style="font-family: courier new"><font size="3">Wanajamvi:<br />
<br />
Nimekuwa najiuliza ilikuwaje Rostam kutinga Igunga katika kampeni za CCM na huku alishasema hataki tena 'siasa uchwara' za CCM? lakini baada ya kutafakari sana inakuwaje mtu huyu mwenye jeuri kubwa sana ya pesa (alizotuibia) kula matapishi yake mwishowe nikajikuta nina jibu: huenda ni kwa sababu alitishwa na vyombo vya dola vinavyomilikiwa na serikali ya CCM, vyombo ambavyo mara kadha vimekuwa vikitumika ili kuwaweka viongozi mstarini.<br />
<br />
Navyoona mimi Rostam alitishwa kwamba akishikilia kukipa mgongo chama hicho basi huenda vyombo vya sheria vikaanza kumshughulikia kwa dhati kutokana na ufisadi na wizi wake. Akajikuta hana namna isipokuwa kupiga magoti na kula matapishi yake.<br />
<br />
Mtindo huu CCM wanautumia sana katika kujiweka mstarini.</font></span></b>
<br />
<br />vilimwambia nn hvyo vyombo?
 
Wanajamvi:

Nimekuwa najiuliza ilikuwaje Rostam kutinga Igunga katika kampeni za CCM na huku alishasema hataki tena 'siasa uchwara' za CCM? lakini baada ya kutafakari sana inakuwaje mtu huyu mwenye jeuri kubwa sana ya pesa (alizotuibia) kula matapishi yake mwishowe nikajikuta nina jibu: huenda ni kwa sababu alitishwa na vyombo vya dola vinavyomilikiwa na serikali ya CCM, vyombo ambavyo mara kadha vimekuwa vikitumika ili kuwaweka viongozi mstarini.

Navyoona mimi Rostam alitishwa kwamba akishikilia kukipa mgongo chama hicho basi huenda vyombo vya sheria vikaanza kumshughulikia kwa dhati kutokana na ufisadi na wizi wake. Akajikuta hana namna isipokuwa kupiga magoti na kula matapishi yake.

Mtindo huu CCM wanautumia sana katika kujiweka mstarini.




Inasikitisha kuona CCM imefika mahala pagumu sana kwani hakieleweki kinasimamia nini -- maovu au mema? Wakati wanamsukuma kada wao mashuhuri korongoni, walikuwa wanajuwa fika kwamba bado wanamhitaji kwani ndiye financier wao mkubwa. NMguvu ya Rostam haiko katika mvuto wake kwa wananchi au haiba, ila iko katika pesa alizonazo na ambazo nyingi zilitoka katika serikali kwa njia za kutatanisha kama vile Kagoda. Na ndicho kinachoifanya CCM kumg'ang'ania Rostam pamoja na yeye kujiondoa. Wengi katika CCM wanamuona ni lulu, na siyo fisadi kamwe.

Inashangaza pia wanachama wa CCM bado hawaelewi chama chao kinasimamia wapi kuhusu ufisadi -- wanakaa kuvurugwa vurugwa tu na viongozi wao. Kwa mfano hapo Igunga viongozi wangependa sana akina Dr Slaa wasilitumie suala la ufisadi katika kampeni, kitu ambacho hakiwezekani, hakuna sheria au kanuni ya kukataza hilo.
 
Nadhani hata lile la Msemakweli na mafaili ya Kagoda, ccm wamelitumia vizuri kwa faida yao.
 
Wanajamvi:

Nimekuwa najiuliza ilikuwaje Rostam kutinga Igunga katika kampeni za CCM na huku alishasema hataki tena 'siasa uchwara' za CCM? lakini baada ya kutafakari sana inakuwaje mtu huyu mwenye jeuri kubwa sana ya pesa (alizotuibia) kula matapishi yake mwishowe nikajikuta nina jibu: huenda ni kwa sababu alitishwa na vyombo vya dola vinavyomilikiwa na serikali ya CCM, vyombo ambavyo mara kadha vimekuwa vikitumika ili kuwaweka viongozi mstarini.

Navyoona mimi Rostam alitishwa kwamba akishikilia kukipa mgongo chama hicho basi huenda vyombo vya sheria vikaanza kumshughulikia kwa dhati kutokana na ufisadi na wizi wake. Akajikuta hana namna isipokuwa kupiga magoti na kula matapishi yake.

Mtindo huu CCM wanautumia sana katika kujiweka mstarini.


mkuu hii avatar imewahi kutumiwa na member mmoja hapa jamvini,,au ndio wewe lakini umebadili jina??aisee!!
 
<br />
<br />vilimwambia nn hvyo vyombo?

Hujamuelewa Ndevu si Mzigo kile anachokisema. Anasema vyombo vya dola vimetishia RA kumburuza mahakamani kwa wizi wa Kagoda na mengineyo iwapo ataendelea kukipa mgongo CCM! Hivyo ilibidi ale matapishi yake kwa haraka.
 
Wanajamvi:

Nimekuwa najiuliza ilikuwaje Rostam kutinga Igunga katika kampeni za CCM na huku alishasema hataki tena 'siasa uchwara' za CCM? lakini baada ya kutafakari sana inakuwaje mtu huyu mwenye jeuri kubwa sana ya pesa (alizotuibia) kula matapishi yake mwishowe nikajikuta nina jibu: huenda ni kwa sababu alitishwa na vyombo vya dola vinavyomilikiwa na serikali ya CCM, vyombo ambavyo mara kadha vimekuwa vikitumika ili kuwaweka viongozi mstarini.

Navyoona mimi Rostam alitishwa kwamba akishikilia kukipa mgongo chama hicho basi huenda vyombo vya sheria vikaanza kumshughulikia kwa dhati kutokana na ufisadi na wizi wake. Akajikuta hana namna isipokuwa kupiga magoti na kula matapishi yake.

Mtindo huu CCM wanautumia sana katika kujiweka mstarini.
Nini kilimpata Dr. Lamwai yule mwanasheria bingwa kutoka chuo kikuu cha D'salaam mpaka akalazimika kurudi CCM?
 
NI sahihi kabisa huyu RA ameona noma na kusema hapa TZ siyo nyumbani na iwapo nitakaidi mapendekezo ya CCM bac msemo unaosema u scratch my back I scratch your back yaani jino kwa jino. Na iwapo angekaidi bac madudu yote CCm wangeyaibua yote na kufanyiwa kama Jenerali Ulimwengu na kuonaneka sio raia na freeze property zake zote.
 
Wanajamvi:

Nimekuwa najiuliza ilikuwaje Rostam kutinga Igunga katika kampeni za CCM na huku alishasema hataki tena 'siasa uchwara' za CCM? lakini baada ya kutafakari sana inakuwaje mtu huyu mwenye jeuri kubwa sana ya pesa (alizotuibia) kula matapishi yake mwishowe nikajikuta nina jibu: huenda ni kwa sababu alitishwa na vyombo vya dola vinavyomilikiwa na serikali ya CCM, vyombo ambavyo mara kadha vimekuwa vikitumika ili kuwaweka viongozi mstarini.

Navyoona mimi Rostam alitishwa kwamba akishikilia kukipa mgongo chama hicho basi huenda vyombo vya sheria vikaanza kumshughulikia kwa dhati kutokana na ufisadi na wizi wake. Akajikuta hana namna isipokuwa kupiga magoti na kula matapishi yake.

Mtindo huu CCM wanautumia sana katika kujiweka mstarini.
jK alimtuma aje kumnadi Kafumu atakayefumiliwa na Kashinde atakayeshinda...
 
Wanajamvi:

Nimekuwa najiuliza ilikuwaje Rostam kutinga Igunga katika kampeni za CCM na huku alishasema hataki tena 'siasa uchwara' za CCM? lakini baada ya kutafakari sana inakuwaje mtu huyu mwenye jeuri kubwa sana ya pesa (alizotuibia) kula matapishi yake mwishowe nikajikuta nina jibu: huenda ni kwa sababu alitishwa na vyombo vya dola vinavyomilikiwa na serikali ya CCM, vyombo ambavyo mara kadha vimekuwa vikitumika ili kuwaweka viongozi mstarini.

Navyoona mimi Rostam alitishwa kwamba akishikilia kukipa mgongo chama hicho basi huenda vyombo vya sheria vikaanza kumshughulikia kwa dhati kutokana na ufisadi na wizi wake. Akajikuta hana namna isipokuwa kupiga magoti na kula matapishi yake.

Mtindo huu CCM wanautumia sana katika kujiweka mstarini.

Speculative at the very best!
 
Hakika RA kaogopa na angeshindwa kwenda kwenye ufunguzi wangemkalia koo hawa magamba. Hapo iko wazio kabisa bado hajaachana na siasa uchwara
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom