Seneta Wa Mtwiz
JF-Expert Member
- Sep 23, 2013
- 3,601
- 4,086
[em
Wakuu,
Kama unataka kununua ndinga,
Hasa ikiwa nd'o ndinga yako ya kwanza-
Usinunue used_bongo,
Jilipue tu uagize used_japan.
Ni bora ununue iliyotembea km. 130,000 Japan kuliko hata iliyotembea km. 130 Bongo.
Wabongo wako vema sana kwenye kuuziana matatizo kwa bei nafuu !!!!
Fuata huu ushauri utakuja kunishukuru.
------------
Mimi siyajui magari
(na kiukweli hata baiskeli nd'o nimenunua mwaka huu).
Ila nashukuru kwa kupata taarifa dhahiri za watu waliopigwa kwa kuuziwa magari yaliyopuliziwa rangi, kubadilishwa siti_kava na kurudishwa miliage nyuma ili yaonekane hayajachoka,
Kumbe magari yalishawahi kugongana hadi na semi_trela,
Yakabondeka vibaya-
Wana wakaaenda kuyanyooshanyoosha bodi pale Tabata na kuyapulizia rangi vizuri,
Kisha mambugila wanapigwa hela,
Wanaenda nayo huko kwao same_milimani,
Wanaendesha wiki 3 tu,
Ngoma inapaki foreva !!!
"Ila maisha lazima yaendelee."
Wakuu,
Kama unataka kununua ndinga,
Hasa ikiwa nd'o ndinga yako ya kwanza-
Usinunue used_bongo,
Jilipue tu uagize used_japan.
Ni bora ununue iliyotembea km. 130,000 Japan kuliko hata iliyotembea km. 130 Bongo.
Wabongo wako vema sana kwenye kuuziana matatizo kwa bei nafuu !!!!
Fuata huu ushauri utakuja kunishukuru.
------------
Mimi siyajui magari
(na kiukweli hata baiskeli nd'o nimenunua mwaka huu).
Ila nashukuru kwa kupata taarifa dhahiri za watu waliopigwa kwa kuuziwa magari yaliyopuliziwa rangi, kubadilishwa siti_kava na kurudishwa miliage nyuma ili yaonekane hayajachoka,
Kumbe magari yalishawahi kugongana hadi na semi_trela,
Yakabondeka vibaya-
Wana wakaaenda kuyanyooshanyoosha bodi pale Tabata na kuyapulizia rangi vizuri,
Kisha mambugila wanapigwa hela,
Wanaenda nayo huko kwao same_milimani,
Wanaendesha wiki 3 tu,
Ngoma inapaki foreva !!!
"Ila maisha lazima yaendelee."