Wewe usiogope utapata video, picha kama kawa bado matukio hayaanza hivyo ni updatea za kawaida tu mkuu. Jamaa wa Arusha wapo full magazine, ni mwendo wa kukamua tu.
NMC imetapika nashindwa kufika katikati ya kiwanja.hii ni salamu kwa magamba.
Jitahidi usonge mbele mkuu upate usikivu wa kutosha!!!
Sawasawa mkuu, tunangoja updates!!!!!!!!!!usikivu ni mzuri tatizo ni kufika karibia na jukwaa.
Tupo kwenye maombolezo jamani. Mambo ya mikutano tena yanatoka wapi?
Nina hamu sana ya kusikia tamko la Makamanda wakuu wa CHADEMA kuhusiana na hukumu ya Kesi ya Mhe. Godbless Lema kama Chama kitaamua kukataa rufaa ama vipi. Maana magazeti ya leo yametonya kwamba kuna WANASHERIA WAMESEMA HUKUMA HIYO KUNA VIFUNGU VIMEJICHANGANYA na hivyo yaelekea kesi hii ina utata katika hukumu yake.
Tunasubiri.