Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
mimi nikifata hayo maelezo huwa napata sehemu ya kuweka link ikiwa na maana picha iwe imekuwa-uploaded ndiyo niweke link yake..je hii imekaaje.Kiresua, kama unatumia simu, sijui imekaaje maana sijawahi kutumia simu kuweka picha.
Ila kama ukiangalia juu ya hapo unapoweka maandishi, unaona kuna vidude vingi. Mstari wa chini kuna letter B, I, U, na alama nyingine zinafuata, ns nenda hadi kwenye alama ya 6 kutoka kushoto imeandikwa na ukisogeza mshale wa mouse, utaona neno linatokea INSERT IMAGE na ukibonyeza hapo itakupeleka kwenye Ku-Attach picha..