FredKavishe
JF-Expert Member
- Dec 4, 2010
- 1,090
- 318
Napenda kufahumu kinachoendelea nilisikia linaanza saa saba mchana
Ni sehemu gani, pale nje au ni ndani?
nadhani itakuwa nje viwanja vya mkapa mabibo
Mpaka sasa naambiwa kuna watu zaidi ya 3000 na bado watu wanazidi kuja.watoa mada wote wameshawasili na ratiba inaanza
Ndo nimefika eneo la tukio,mh.Marando anamwaga sumu kwa vijana,karibuni ambao hamjafika.Napenda kufahumu kinachoendelea nilisikia linaanza saa saba mchana
tupe yanayojiri hukoNdo nimefika eneo la tukio,mh.Marando anamwaga sumu kwa vijana,karibuni ambao hamjafika.
tupe yanayojiri huko
Ndo nimefika eneo la tukio,mh.Marando anamwaga sumu kwa vijana,karibuni ambao hamjafika.
Nashangaa watu walioko huko hawasemi kitu...Mnafanya nini sasa?niko njiani, sijui nitawah?
niko njiani, sijui nitawah?
Marando amechambua madhaifu ya katiba yetu mbovu,wakati huohuo akatudokeza baadhi ya vifungu vya katiba ya wenzetu wa kenya just kama kutuhamasisha,kwa kweli watu wameguswa na wengi wamepiga kelele"tuvicopy na tupaste vyote"Mh. Mrando kasema nini in brief?