imebidi nitupie picha habari bila picha hainogi haya ndiyo maandalizi
Imekaa sana poa.Samahani sana kwa kutoa hii
Tambua katika maisha kujua mbinu za wizi na
husikamatwe ni ujuzi na elimu lakini kujua namna
ya kuzuia wizi ni ujuzi na elimu zaidi.
Hapa chini nawaletea kuntu wizi wa kura
unavyofanyika na namna ya kuuuzuia.(Utaratibu
huu unatumiwa na nchi mbalimbali duniani
Zipo mbinu nyingi lakini leo nitaongelea mbinu
moja nay a kipekee inayotegemewa kw asilimia
85 maana nyingine ni pata potea.
Vituo hewa vya kupigia kura.
Hivi vipo tayari katika orodha ya vituo vya kupigia
kura na vina wapiga kura hewa,hata vyama nje
ya kile chama chetu hawajui huu mchezo
utakavyochezwa.
Kosa kubwa hapa wafuasi wa vyama wao
wanaongelea suala la kulinda kura,hilo halisaidii
kuzuia hii mbinu.
Kinachofanyika.
Kwa mfano kata moja ya Mwanakuja katika jimbo
la Kyelwa kuna vituo 8 kati ya hivyo nane vituo 4
ni hewa vya Maganzo,Twila,Kulele na Mutwi
katika jimbo la Kyelwa,Vyama vitajikita katika
kuweka mawakala katika vituo 4 halali bila kujua
kuwa kuna vituo vingine 4 hewa.
Hivyo vituo hewa vimepewa wasimamizi
hewa,walinzi hewa,mawakala hewa nk,vitapigiwa
kura ofisini na kuandika matokeo ya hivyo vituo
na kutoa takwimu za wagombea wote kulingana
na walivyogombea lakini hapa mlengwa ni wa
chama Fulani.
Wakati wasimamizi HALISI wakirejesha matokeo
ya takwimu kutoka vituo vyao kwa mkurugenzi
tayari watakuta na wasimamizi FEKI wamekwisha
ejesha takwimu kutoka vituo FEKI.Mkurugenzi
atajumlisha.Kabla ya kupiga kura mgombea X
atakuwa na kura 0 huku Y akiwa na kura 2,000
katika kata.
Kazi hii ya kupigisha kura hizi bandia itaanza
kufanyika October 22-24.kabla ya kupiga kura
October 25.
Namna ya kudhibiti huu Wizi.
Wawakilishi wa vyama ni kupata IDADI halisi ya
vituo katika kata na kuvitambua vyote kwa
majina,wakipewa orodha husika iwe imesainiwa
na mkurugenzi kuwa hivyo ndo vituo halali.
Utaratibu ukibadilika nitawajuzaâš-
Share mpaka iwafikie mawakala wa Ukawa:
Viongozi wa Ukawa: Nec na mafisisiem
Hawana mchezo, Tanesco wasipolipa tuko gizani
Magufuli anaenda kulitatua tatizo hili la umeme ndani ya Week mbili tangu aingie madarakani.
Magufuli anaenda kulitatua tatizo hili la umeme ndani ya Week mbili tangu aingie madarakani.