Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
- Thread starter
- #61
Kwani upinzani mpaka uwepo bungeni?Daah jamaa ameandika sijui vitu gani aisee, Mpaka sasa iv hakuna wapinzani bungeni maana wamechelewesha mambo mengi kwa hyo sioni budi kuongelea watu ambao hawapo tena, nyie fanyeni kwa nafasi yenu baada ya hapo tutajua nani mkweli na muongo