Mwaka jana wakati Covid 19 imepamba moto wabunge wa Chadema na Act wazalendo walitoka bungeni na kuamua kujiquarantine kihuni huku wakiwa tayari wamevuta mkwanja aka posho za kulia bata.
Kitendo hiki kilimuuzi kila mtanzania na kwa uhakika ndio sababu kubwa ya kuwaadhibu wapinzani kwenye sanduku la kura.
Wananchi walitoa adhabu kwa kutumia ballot paper sababu tu ya upinzani kukosa uzalendo wakati kuna janga la kidunia. Maana kama taifa lipo kwenye majanga kwa nini wapinzani watake kuchukua political advantage? Ni upuuzi wa kisiasa.
Sasa tena pamoja na kuwa mmekufa kifo cha mende bado mnaendekeza siasa za kishamba. Mnadhani kufurahia kuwepo kwa Covid 19 ndio advantage kisiasa? Wananchi tunawachora na huenda msinyanyuke kabisa hapo mlipolala kifo cha mende.
Leo mumeo kakuacha,hasira unaleta jfMwaka jana wakati Covid 19 imepamba moto wabunge wa Chadema na Act wazalendo walitoka bungeni na kuamua kujiquarantine kihuni huku wakiwa tayari wamevuta mkwanja aka posho za kulia bata.
Kitendo hiki kilimuuzi kila mtanzania na kwa uhakika ndio sababu kubwa ya kuwaadhibu wapinzani kwenye sanduku la kura.
Wananchi walitoa adhabu kwa kutumia ballot paper sababu tu ya upinzani kukosa uzalendo wakati kuna janga la kidunia. Maana kama taifa lipo kwenye majanga kwa nini wapinzani watake kuchukua political advantage? Ni upuuzi wa kisiasa.
Sasa tena pamoja na kuwa mmekufa kifo cha mende bado mnaendekeza siasa za kishamba. Mnadhani kufurahia kuwepo kwa Covid 19 ndio advantage kisiasa? Wananchi tunawachora na huenda msinyanyuke kabisa hapo mlipolala kifo cha mende.
Kwenu wamekufa wangapi?..wananchi wanapoteza maisha kwa kufichwa taarifa za ugonjwa ili kumfurahisha mtu mmoja tu.
..kinachoendelea sasa hivi ni UNYAMA kwa Watanzani. haiwezekani wanachi wafe ili kulinda UONGO wa Bwana Mkubwa.
Alisikika muenezi wa chamaMwaka jana wakati Covid 19 imepamba moto wabunge wa Chadema na Act wazalendo walitoka bungeni na kuamua kujiquarantine kihuni huku wakiwa tayari wamevuta mkwanja aka posho za kulia bata.
Kitendo hiki kilimuuzi kila mtanzania na kwa uhakika ndio sababu kubwa ya kuwaadhibu wapinzani kwenye sanduku la kura.
Wananchi walitoa adhabu kwa kutumia ballot paper sababu tu ya upinzani kukosa uzalendo wakati kuna janga la kidunia. Maana kama taifa lipo kwenye majanga kwa nini wapinzani watake kuchukua political advantage? Ni upuuzi wa kisiasa.
Sasa tena pamoja na kuwa mmekufa kifo cha mende bado mnaendekeza siasa za kishamba. Mnadhani kufurahia kuwepo kwa Covid 19 ndio advantage kisiasa? Wananchi tunawachora na huenda msinyanyuke kabisa hapo mlipolala kifo cha mende.
Kunywa maji upunguze hasiraπππππππππππππππππππππππππππππππππππππ
Sikuwepo Tz na sikwenda kupiga kura but jirani yangu (wakala wa CCM) kaona jina langu limepiga kura,siku nakutana naye ananiambia kwa nini nimerudi kimya kimya!! Nikamwambia ndio nimefika jana,yeye anasema si kweli, eti mbona ameona jina langu limepiga kura!!!Nani wa kuamini haya unayosema? Tulipiga kura, na nani angekuchagua wewe na Chadema?
Mtu asiyeweza kuandika "utafakari" huyo ni mbolea ya binadamu.Kaaa chini utafakali
tuna itwa watanzania wajinga kumbe wame sample watu kama weweMwaka jana wakati Covid 19 imepamba moto wabunge wa Chadema na Act wazalendo walitoka bungeni na kuamua kujiquarantine kihuni huku wakiwa tayari wamevuta mkwanja aka posho za kulia bata.
Kitendo hiki kilimuuzi kila mtanzania na kwa uhakika ndio sababu kubwa ya kuwaadhibu wapinzani kwenye sanduku la kura.
Wananchi walitoa adhabu kwa kutumia ballot paper sababu tu ya upinzani kukosa uzalendo wakati kuna janga la kidunia. Maana kama taifa lipo kwenye majanga kwa nini wapinzani watake kuchukua political advantage? Ni upuuzi wa kisiasa.
Sasa tena pamoja na kuwa mmekufa kifo cha mende bado mnaendekeza siasa za kishamba. Mnadhani kufurahia kuwepo kwa Covid 19 ndio advantage kisiasa? Wananchi tunawachora na huenda msinyanyuke kabisa hapo mlipolala kifo cha mende.
Sidhani kama wewe ni mjinga kiasi kwamba wewe mwenyewe unaamini ni kweli hiki ulichokiandika!Nani wa kuamini haya unayosema? Tulipiga kura, na nani angekuchagua wewe na Chadema?
Kwenu wamekufa wangapi?
Na kabla ya corona tanzania watu walikuwa wankufa wangapi kwa siku au mwezi?
Lete data hapa tujue na sasa hivi wanakufa wangapi?
Hatutaki porojo zenu kwa kusema watu wanakufa ila nyie hamfiwi watu kwenu.
Mwaka jana wakati Covid 19 imepamba moto wabunge wa Chadema na Act wazalendo walitoka bungeni na kuamua kujiquarantine kihuni huku wakiwa tayari wamevuta mkwanja aka posho za kulia bata.
Kitendo hiki kilimuuzi kila mtanzania na kwa uhakika ndio sababu kubwa ya kuwaadhibu wapinzani kwenye sanduku la kura.
Wananchi walitoa adhabu kwa kutumia ballot paper sababu tu ya upinzani kukosa uzalendo wakati kuna janga la kidunia. Maana kama taifa lipo kwenye majanga kwa nini wapinzani watake kuchukua political advantage? Ni upuuzi wa kisiasa.
Sasa tena pamoja na kuwa mmekufa kifo cha mende bado mnaendekeza siasa za kishamba. Mnadhani kufurahia kuwepo kwa Covid 19 ndio advantage kisiasa? Wananchi tunawachora na huenda msinyanyuke kabisa hapo mlipolala kifo cha
Umeandika ukiwa usingizini.Pointless....Mwaka jana wakati Covid 19 imepamba moto wabunge wa Chadema na Act wazalendo walitoka bungeni na kuamua kujiquarantine kihuni huku wakiwa tayari wamevuta mkwanja aka posho za kulia bata.
Kitendo hiki kilimuuzi kila mtanzania na kwa uhakika ndio sababu kubwa ya kuwaadhibu wapinzani kwenye sanduku la kura.
Wananchi walitoa adhabu kwa kutumia ballot paper sababu tu ya upinzani kukosa uzalendo wakati kuna janga la kidunia. Maana kama taifa lipo kwenye majanga kwa nini wapinzani watake kuchukua political advantage? Ni upuuzi wa kisiasa.
Sasa tena pamoja na kuwa mmekufa kifo cha mende bado mnaendekeza siasa za kishamba. Mnadhani kufurahia kuwepo kwa Covid 19 ndio advantage kisiasa? Wananchi tunawachora na huenda msinyanyuke kabisa hapo mlipolala kifo cha mende.
Wewe ni mwendazimu wa kiwango cha juu. Wizi ule wa kura, uingizaji wa kura hewa, kubdilisha kura na kutangaza tofauti na kura zilizopigwa, ndiyo ilikuwa chuki ya wananchi?Mwaka jana wakati Covid 19 imepamba moto wabunge wa Chadema na Act wazalendo walitoka bungeni na kuamua kujiquarantine kihuni huku wakiwa tayari wamevuta mkwanja aka posho za kulia bata.
Kitendo hiki kilimuuzi kila mtanzania na kwa uhakika ndio sababu kubwa ya kuwaadhibu wapinzani kwenye sanduku la kura.
Wananchi walitoa adhabu kwa kutumia ballot paper sababu tu ya upinzani kukosa uzalendo wakati kuna janga la kidunia. Maana kama taifa lipo kwenye majanga kwa nini wapinzani watake kuchukua political advantage? Ni upuuzi wa kisiasa.
Sasa tena pamoja na kuwa mmekufa kifo cha mende bado mnaendekeza siasa za kishamba. Mnadhani kufurahia kuwepo kwa Covid 19 ndio advantage kisiasa? Wananchi tunawachora na huenda msinyanyuke kabisa hapo mlipolala kifo cha mende.
Huko CCM ndiyo kiwanda cha wajinga na wendawzimu. CCM inaungwa mkono na watu wajinga - TWAWEZA.Sijui ccm huwa inaokota wapi wajinga hawa
Hivi hiki MATAGA wanacholazimisha kuita
"Ugonjwa wa kupumua"
ni kitu gani?!!!
Ulitegemea Lissu ashinde urais? Wewe ushinde udiwani?Wewe ni mwendazimu wa kiwango cha juu. Wizi ule wa kura, uingizaji wa kura hewa, kubdilisha kura na kutangaza tofauti na kura zilizopigwa, ndiyo ilikuwa chuki ya wananchi?
Uhayawani wenu utaendelea kuwaumiza.