Kilichoandikwa na TANZANIA DAIMA la jana: DK Slaa alishinda urais kwa 64%

Dhambi ya kuiba kura haiwezi kumwacha. Chadema waendelee kudai haki yao na itapatikana tu hatuwezi kuwa na rais mwizi.
 
daah hili linaukweli hata siku ya uhuru wa Tanganyika hakutoa hatuba kabisa na sikuile ya kuapishwa hakuongea kama kawaida yake yaani ukifatilia utagundua siku hizi hachongi sana ilaelekea hana amani moyoni mwake

Humu humu JF mlitoa matokeo kuwa Slaa alishindwa kiduchu na JK. Leo mnasema alishinda which is which ? na nyie mlisema yale mliyotoa humu ndio yalikuwa ni ya uhakika kwani yalitoka kwenye vyanzo vya CHADEMA. Hapa kuna kitu wanataka kum fool slaa, asipokuwa makini atalishwa sumu halafu watu watamkana na ataonekana ni mtu asie makini.

Siku ya uhuru wa Tanganyika , huwa Rais hatoi hotuba fuatilia sherehe zote zilizo pita
 
Humu humu JF mlitoa matokeo kuwa Slaa alishindwa kiduchu na JK. Leo mnasema alishinda which is which ? na nyie mlisema yale mliyotoa humu ndio yalikuwa ni ya uhakika kwani yalitoka kwenye vyanzo vya CHADEMA. Hapa kuna kitu wanataka kum fool slaa, asipokuwa makini atalishwa sumu halafu watu watamkana na ataonekana ni mtu asie makini.

Siku ya uhuru wa Tanganyika , huwa Rais hatoi hotuba fuatilia sherehe zote zilizo pita
walichokuwa wana kifanya na wana binu haya matatizo yataisha pale tu tutakapo kuwa na katiba mpya na mawakala kila kituo...mimi nilikuwa mmoja wa mawakala wa CDM wakati tunahesabu kura zilizidi mbili yaani ukihesabu kwenye vichina na zilizoko kwenye sanduku, tulitumia muda zaidi ya saa moja tunarudia kuhesabu yaani kucompare zilizoko kwenye sanduku na kwenye vishina na sikupata jibu na wenzangu walioneka kutokuwa na jibu kwamba zimetoka wapi hizo kura mbili...hii inaimanisha nini? wana mbinu kiasi kwamba unaweza kuibiwa usijue umeibiwa kiasi gani ila ukajua umeibiwa na usijui ni mbinu gani imetumika sasa kujua ni mbinu gani inakupasa ufanye utafiti si kukurupuka kwa hiyo hizo figure zisikuchanganye iko siku zina weza kuja zingine lakini pointi ni kwamba Kikwete aliiba kura kuliko unavyo weza kutegemea.
 
Humu humu JF mlitoa matokeo kuwa Slaa alishindwa kiduchu na JK. Leo mnasema alishinda which is which ? na nyie mlisema yale mliyotoa humu ndio yalikuwa ni ya uhakika kwani yalitoka kwenye vyanzo vya CHADEMA. Hapa kuna kitu wanataka kum fool slaa, asipokuwa makini atalishwa sumu halafu watu watamkana na ataonekana ni mtu asie makini.

Siku ya uhuru wa Tanganyika , huwa Rais hatoi hotuba fuatilia sherehe zote zilizo pita
Nani alisema? Yale matokeo yamewekwa na wana ccm wakijifanya ni wana chadema. Siku zote chadema walitoa kauli kuwa bado wana compile tusubiri. Nani anasema chadema walitoa matokeo? Si mnakumbuka mpaka zimeanzishwa thread hapa kumtukana Dr Slaa(Phd) kwa kutotoa hadharani matokeo? Muwe waangalifu!
 
Toka uhuru na mfumo wa vyama vingi haikuwahi kushuka asilimia ya wapiga kura kama uchaguzi uliopita. Kutoka asilimia 74 ya kiwango cha chini chawaliowahi kujitokeza huko nyuma hadi 42 asilimia. Cha ajabu hapa ni kwamba haijawahi raia wakati wowote wakahamasika na campaign kama uchaguzi uliopita na kiwango kikubwa cha kujiandikisha kilikuwa takribani 20m. Kwa akili za kawaida tu zisizohitaji darara watu yapapa 13m walipiga kura ila zilizoonekana na nec ya Makame ni 8m kwa maana kwamba kura zipatazo 5m zilipotezwa. Tunamuomba Mungu kwa kila mtu aliyejihusisha na uchakachuaji huu asiwe salama mpaka hapo atakapouungama uovu wake kwa watanzania. Na katiba mpya ni lazima ili kulidhibiti hili zimwi ccm linalojifanya kutujua, maana isipofanyika hivyo vita ya wenyewe kwa wenyewe itasajiliwa rasmi Tz. Udini uliopandikizwa na ccm tayari ushaanza kuonyesha dalili za mpasuko mkubwa nchini.
KWA PAMOJA TUKIKUBALIANA KUHUSU HILI LA KATBA MPYA TUTASHINDA!
.
 
Inasikitisha sana, Hapo ndipo ninaposhangaa sana na kukatishwa tamaa sana ila hatutakubali kuonewa kiasi hicho
 
Hata sasa ana hofu. Angalia tu alivyoongeza safu ya walinzi. Ahahahahahahahaha

Kwa taaarifa yenu Mashu shushu wale walio staafu wengi wamechomekwa majeshini esp Makao makuu ya Jeshi pala Upanga hii details ninayo kjutoka ndani hilo la kuongeza ulizi na mashushushu ni kweli nakubaliana nawe, Jamaaa hajiamini kabisa na hili lilitokana na kuwa Majeshi yote hayakumpigia jamaaa kura ni viongozi wa Juu katika majeshi yetu na ni baadhi ndio wanana msupport tu.

Ndio lamtia shaka kabisa hakuamini macho yake Majeshi yalimsariti Kweli kituo cha Police kambini unajikuta Rais wa TZ umepata kura 8 duuuuuh alafu utajiita rais kweli kama Majeshi yote yamekutupa!!! na ndio maaana hakuwa na Raha siku ya kuapishwa kabisa maaa hao hao waliompigia gwalide hawakumchagua kabisa analijua hilo ndani ya roho yake.

Kingine yeye nchi yake si anajifanya kuipigania kuwa na amani na kuwa mshauri mzuri kwa wengine huku nchi za Africa mbona kule Ivory Coast hajatupa neno teh teh teh

 
Humu humu JF mlitoa matokeo kuwa Slaa alishindwa kiduchu na JK. Leo mnasema alishinda which is which ? na nyie mlisema yale mliyotoa humu ndio yalikuwa ni ya uhakika kwani yalitoka kwenye vyanzo vya CHADEMA. Hapa kuna kitu wanataka kum fool slaa, asipokuwa makini atalishwa sumu halafu watu watamkana na ataonekana ni mtu asie makini.

Siku ya uhuru wa Tanganyika , huwa Rais hatoi hotuba fuatilia sherehe zote zilizo pita

Hapo juu mwishoni usiwadanganye wananchi,Uhuru hotuba hutolewa ni siku ya Muungano tu ndiyo hakuna hotuba na sababu ziko wazi.

Mumezidi kutudanganya na kutetea uwongo,shame on you kila kitu mnataka kuchakachua,hatudanganyiki japo elimu mnayotupa ni chini ya kiwango safari hii mtaumia.
 
Drip Drip Drip... Wengi Tulijua Hili Jambo na JK na CCM ni Wezi na Wadhuruma Kila Leo. Hakuna Kitu Wananchi Wategemee kwa CCM. Kama Wanaweza Kusababisha Vifo Muhimbili na Nchini Kote Wakati Wao na Familia Zao Wanaishi Maisha Mazuri Tunafikiri Hawa ni Binadamu. Angalia Mugabe Anachokifanya Zimbabwe. Hawa Si Binadamu na Inaonekana Kabisa Wataondoka kwa Damu Mitaani. Wananchi Wengine Wanafikiri Tanzania Haiwezi Kuwa na Vita. We Ngoja Siku Kadhaa Zinakuja. Tunawasihi Sana Wanaofanya Kazi Usalama wa Taifa na Ngazi Hizi Kubwa za Serikali Kujitokeza kwa Wingi Kusema Ukweli ili Huu Uchaguzi wa Mwaka Huu Ubadilishwe. Wananchi Subirini Habari Zinakuja. Maofisa Wengi Wanajua Wakijitokeza Watapata Protection Marekani na Ulaya, UN Inasupport Sana Kutolewa kwa Visa's kwa Wanaotaka Kumalizwa na Madikteta Kama JK. Hali Si Shwali Ndani ya Serikali ya Tanzania. Give Up kwa Gazati la Tanzania Daima, Walichapisha Hii Makala na Wamezuiliwa Kuiliweka Hata Online Ila Kopi Zipo na Chadema na Dr Slaa Wanazo Hizi Details. Tusiwe na Haraka Kama Hawataki Kubadilisha na JK Kuwa Clean Yeye Mwenyewe Hali ni Mbaya. Je, Kwanini JK Hatoki Kusafiri Nje ya Nchi? Kwanini Hatumwoni JK Public Often? Angalia Mabadiliko ya Uendeshaji wa Serikali Sasa. Vitu Vipo na Vinatoka Sasa.
 
Tanzania Daima ni gazeti la CHADEMA; kama Uhuru lilivyo gazeti la CCM.

Naomba kutoa masahihisho kidogo:
Uhuru linamilikiwa na CCM = ni gazeti la chama
Tanzania Daima linamilikiwa na shareholders, Mbowe akiwa mmoja wao = sio gazeti la CDM

Gazeti la Uhuru ni sawa na kasuku wakati Tanzania Daima linajadili hoja.
 
Dk Willbrod Slaa ndiye alieshinda kwa kiti cha urais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika uchanguzi mkuu uliofanyika Oktoba 31 mwaka huu Tanzania Daima limeelezwa.
Taarifa za kuaminika kutoka kwa vigogo wa idara hiyo ya usalama waTaifa zinasema Dk Slaa aliekuwa akiwania kiti cha hicho kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) alishinda uraisi kwa kuzoa asilimia 64ya kura zote zilizopigwa kwa nafsi hiyo lakini kwa makusudi matokeo halali yalichakachuliwa kumpa ushindi Jakaya Kikwete wa chama cha Mapinduzi (CCM). Mtoa taarifa wetu kutoka ndani ya idara hiyo amelithibitishia gazeti hili kuwa mbali na kujizolea asilimia 64 ya kura zote zilizopigwa Dk slaa aliongoza kwa kupata kura nyingi kwenye mikoa 10 dhidi ya kikwete alieongoza kwa kura chache katika mikoa iliyosalia
Katika matokeo hayo yaliyovujishwa ndani ya siku tatu zilizopita inadaiwa kuwa kikwete alipata asilimia 27 tu ya kura zote zilizopigwa kwa nafasi hiyo ya urais huku asilimia 9 ya kura hizo ikienda kwa vyama vingine kikiwemo chama cha wananchi (CUF). Taarifa hizo ziliendelea kuwa matokeo ya urais yalibadilishwa katika hatua ya ujumlishaji wa kura kwenye majimbo mbalimbali ambapo pale Dk Slaa alipoongoza kwa kura nyingi sana kura hizo zilikuwa zikipunguzwa ili kukaribiana na zili za kikwete.
“unajua kura hazikuibiwa vituoni, matokeo ya vituo karibu yote yalikuwa halali. Kura ziliibiwa katika majumlisho jimboni na na kwenye majumlisho yaliyofanywa na tume.
Na walitumia udhaifu wa mawakala wa chadema katika majumuisho kuhangaikia zile za ubunge tu na kujisahau kwenye urais. Kama wangekuwa makini katika majumuisho ya urais, maeneo mengi matokeo yasingebadilishwa sana..” alisema kigogo mmoja wa usalama wa taifa kwa sharti la kutotajwa jina lake. Matokeo zaidi ya urais yanaelezwa yalichakachuliwa katika majumlisho ya mwisho ya kura nchi nzima ambapo tume ya taifaya uchanguzi (NEC), inadaiwailipunguza kura za Dk Slaa hata zile zilizokuwa zimeshudiwa kwa pamoja na mawakala wa vyama vya pinzani.
“Mfano wa majimbo ambayo kura zake zilibadilishwa dakika za mwisho na tume ni Ubungo, Musoma mjini, Mbeya mjini, Arusha mjini, Ilala, kawe, Geita, Kilombero, Moshi mjini, Tarime na Songea mjini…” Taarifa zaidi za matokeo hayo ya urais yanayodaiwa kuwa ndiyo halali na sahihi badala ya yale yaliyotangazwa na NEC, zilivujishwa na vigogo wastaafu wa usalama wa taifa ambao hawakutaka majina yao yaandikwe gazetini.
Hata hivyo, usalama wa Taifa ulikanusha vikali kuhusika katika kuchakachua matokeo ya urais mara baada ya Dk Slaa mwenyewe kutoa malalamiko yake kupitia vyombo ya habari



Haya Mods chomoeni na hii

Tanzania daima bahati yenu Waziri Mkuchika kashatolewa kwenye ile wizara ya kufungia, nahisi mgeingizwa kule alikoingizwa Mwanahalisi na Kulikoni kipindi fulani!

 
Hizi habarii zina mshtuko mkubwa sanaa.........naogopa kuzitafakurii maana zinatisha...kuna docs zinapitishwa mtandaoni....kuonyesha kiwkete amepata 44.31 na Slaa amepata 44.26 sasa sijajuaa kama kweli ama la.....mikoa wamegawana JK ana 11 Slaa ana 10

lENGO LAO NI KUONYESHA KUWA KIKWETE ALISHINDAA JAPO KWA KURA NDOGO.
KUNA WATU WANAAMIN HIVYO KUWA KIKWETE ALISHINDA LAKINI SIO KWA YALE MATOKEO YALIYOTANGAZWA NA NEC.

NA LENGO NI KUWAHADAA WANANCHI KUWA KABLA YA UCHAKACHUAJI JAMAA ALISHINDA NA HILI LINAWAPA NGUVU WANA CCM
 
Dk Willbrod Slaa ndiye alieshinda kwa kiti cha urais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika uchanguzi mkuu uliofanyika Oktoba 31 mwaka huu Tanzania Daima limeelezwa.
Taarifa za kuaminika kutoka kwa vigogo wa idara hiyo ya usalama waTaifa zinasema Dk Slaa aliekuwa akiwania kiti cha hicho kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) alishinda uraisi kwa kuzoa asilimia 64ya kura zote zilizopigwa kwa nafsi hiyo lakini kwa makusudi matokeo halali yalichakachuliwa kumpa ushindi Jakaya Kikwete wa chama cha Mapinduzi (CCM). Mtoa taarifa wetu kutoka ndani ya idara hiyo amelithibitishia gazeti hili kuwa mbali na kujizolea asilimia 64 ya kura zote zilizopigwa Dk slaa aliongoza kwa kupata kura nyingi kwenye mikoa 10 dhidi ya kikwete alieongoza kwa kura chache katika mikoa iliyosalia
Katika matokeo hayo yaliyovujishwa ndani ya siku tatu zilizopita inadaiwa kuwa kikwete alipata asilimia 27 tu ya kura zote zilizopigwa kwa nafasi hiyo ya urais huku asilimia 9 ya kura hizo ikienda kwa vyama vingine kikiwemo chama cha wananchi (CUF). Taarifa hizo ziliendelea kuwa matokeo ya urais yalibadilishwa katika hatua ya ujumlishaji wa kura kwenye majimbo mbalimbali ambapo pale Dk Slaa alipoongoza kwa kura nyingi sana kura hizo zilikuwa zikipunguzwa ili kukaribiana na zili za kikwete.
“unajua kura hazikuibiwa vituoni, matokeo ya vituo karibu yote yalikuwa halali. Kura ziliibiwa katika majumlisho jimboni na na kwenye majumlisho yaliyofanywa na tume.
Na walitumia udhaifu wa mawakala wa chadema katika majumuisho kuhangaikia zile za ubunge tu na kujisahau kwenye urais. Kama wangekuwa makini katika majumuisho ya urais, maeneo mengi matokeo yasingebadilishwa sana..” alisema kigogo mmoja wa usalama wa taifa kwa sharti la kutotajwa jina lake. Matokeo zaidi ya urais yanaelezwa yalichakachuliwa katika majumlisho ya mwisho ya kura nchi nzima ambapo tume ya taifaya uchanguzi (NEC), inadaiwailipunguza kura za Dk Slaa hata zile zilizokuwa zimeshudiwa kwa pamoja na mawakala wa vyama vya pinzani.
“Mfano wa majimbo ambayo kura zake zilibadilishwa dakika za mwisho na tume ni Ubungo, Musoma mjini, Mbeya mjini, Arusha mjini, Ilala, kawe, Geita, Kilombero, Moshi mjini, Tarime na Songea mjini…” Taarifa zaidi za matokeo hayo ya urais yanayodaiwa kuwa ndiyo halali na sahihi badala ya yale yaliyotangazwa na NEC, zilivujishwa na vigogo wastaafu wa usalama wa taifa ambao hawakutaka majina yao yaandikwe gazetini.
Hata hivyo, usalama wa Taifa ulikanusha vikali kuhusika katika kuchakachua matokeo ya urais mara baada ya Dk Slaa mwenyewe kutoa malalamiko yake kupitia vyombo ya habari



Haya Mods chomoeni na hii
Siku za mwizi ni arobaini!!!!!!!!!!!! Kikwete toka mwanzo amekataliwa na Mungu kwa sababu ametoa taifa hili kwa mashetani!!!!!!!!!!! Ushahidi ni ulinzi wa majini ya sheikh yahya husein na kuambatana kila mahali na wachawi na washirikina wasiopungua 100!Jambo hili ni chukizo kubwa kwa Mungu!!!!!!!!!!!!Mungu ni mwenye wivu-hawezi kumwacha adumu miaka mingi!! Sasa hivi anaonekana kutamba lakini mwisho wake w aibu na fedheha hauko mbali!!!!!Haya si matakwa ya mwanadamu bali ya Mungu!!!!!!!!!!!!! Shetani ni wa machafuko-ndiyo maana sasa hivi kila mahali ni fujo tupu!!!!!!!!!!!!Mzizi wa fujo hizi ni Kikwete-atakapoondolewa kwa mshindo mkuu majeshi ya mashetani yote yatatoroka!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! na ndipo amani ya kweli itakaporejea katika taifa hili la Mungu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
hili gazeti nililiona, na nilitegemea litashtakiwa au kufungiwa. cha kushangaa watu wapo kimya.....nahisi wanaogopa kuinua hoja ya matokeo, maana ilishonekena kunamapungufu, kuzungumzia hili suala tena litaikosesha CCM umaarufu....
 
Ukweli unabakia pale pale sisi hatukumchagua JK kuwa Raisi wetu.....sasa hii nchi anaiongoza kwa ridhaa ya nani?

"Sisi" wewe na akina nani? Ina maana wewe na wenzako ambao mko JF mnatosha aslimia 64? Mbona kura za wabunge hamlalamikii? Endapo wewe hukumchagua ina maana kuwa Watanzania wengine hawakumchagua?

CHADEMA walianza kukataa matokeo hata kabla ya upigaji kura, hadi kufikia hata kutoa uvumi kuwa kuna karatasi za kura feki zinazofutika endapo utampigia kura mgombea urais wa CHADEMA. Ijuikane wazzi kuwa siasa siyo kama ushabiki wa mpira. Uchaguzi umeisha, iliyopo ni kujiandadaa kwa 2015. Stop whining and get back to work!!!!
 
harufu ya damu inaanza kunukia,hivi chadema wanavumilia nNGUMI,kisa panga hawana mkononi.......................WANGEKUWA NA PANGA WASINGE VUMILIA HIYO NGUMI ila wakipata panga kwa jirani,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,sijui
 
kama hamkuchgua Jakaya wengine tulimchagua, mtanung'unika mpaka lini
 
Back
Top Bottom