Kilichoandikwa na MwanaHalisi dhidi ya Shamsa Mwangunga chatimia Bungeni

Katika Toleo la Jumatano Julai 8-14 2009 katika Ukarasa wambele uliandikwa UDINI WATEKA BUNGE katika gazeti la MwanaHalisi.

Ndani ya habari hiyo ilisema" Tayari kunataarifa ya baadhi ya wabunge akiwemo mmoja mwananmke wamejipanga kukwamisha bajeti ya Waziri wa Maliasili na utalii, Shamsa Mwangunga kwa madai hayo hayo ya Udini". Na jana tulisikia Anna Malechela amekusudia kuikwamisha kwa kutumia Meno ya Tembo .

Jee Anna ndiye alietajwa na Kubenea au yupo mwengine. Ngoja Tuone Hoja ya mzee Kubenea

Halafu wewe ndiyo unafungua mada ya kulalamikia udini JF? Wakati thread zako karibia zote ni za kidini? This is no coincidence. Kuna watu either wametumwa au wameingia JF with ulterior motives fulani.
 
Hata mimi sasa naona kuna watu wamepandikizwa hapa kuja kutugawa katika dini ili tusijadili mambo kama timu. Kuna jukwaa la dini kama ana hoja zake aje huko.

Nakuunga mkono Kituko huyu mtu aangaliwe kwa makini na asipojirekebisha ni bora akafungiwa kwa kweli.

rMashauri!
Wacha kusimamia hisia za watu ! Kuwafungia sio suluhisho hapa ianatakiwa tuzijibu hoja kwa hoja Ubabae mara zote hausidii. Lisemwalo lipo na kama halipo lipo linakuja. These are changes na hapa jamii is the only place you can talk freely just like In Trafalgar square inLondon period. As long as hawatukani matusi au za kuleta kama Ze- utamu lakini fika mjue hii ni sanaa ambacho ni kioo cha jamii.

What you can do is only put strategies to manage changes mkingangania uzamani mtakwenda na maji. I agree with most of you propagation of tofauti za kidini ni mbaya na zinaweza kuua taifa.
Tatizo kubwa la akina mama wa Kiislamu wanapopewa nafasi za uwaziri simply for having provided their bodies to some of the CCM wapenda ngono without track perfomance records na kukaa kwenye majukwaa wakivalia Hijab which is not well accepted na wengi ndipo hisia za udini zinapokuja!!! Let us have a national dress code ambayo haitaamsha hizo hisia mbaya especially waziri anapoboronga !!! Hata kama ni mwanaume dini iwe ni private isuue as long as mnachanganya haya mambo then uadui unaanza taratibu.

Bado namngangania Ruksa alianzisha hili saga la kwenda masjidi ijumaa saa za kazi baadae watu wameforce mchana wakati wa lunch ndio muda wa kwenda masjid that is why watu wataka kadhi lakini lengo behind the scenes ni ijumaa kuwa siku ya mapumziko huko tunakoelekea lazima serikali iwe na dini moja let us wait and see! Hapo patahitajika katiba mpya na ndipo utamu utakolea!!!
 
Halafu wewe ndiyo unafungua mada ya kulalamikia udini JF? Wakati thread zako karibia zote ni za kidini? This is no coincidence. Kuna watu either wametumwa au wameingia JF with ulterior motives fulani.


kama naudhi hata jf inaudhi baadhi ya watu hasa govment mbona haifungiwi au nataka nifungiwe mimi tu,. jibu hoja
 
Udini ni moja ya athari zilizoachwa na wakoloni huko Tanganyika.

Kama utaipitia historia vizuri utaona kuwa Waingereza katika kututawala walitumia divide and rule system ( yaani gawanya na utawale)

Sasa Kenya na Uganda walitumia weakness ya ukabila katika kutawala. Na Tanganyika walitumia UDINI na hii inatokana kuwa Tanganika kulikuwa na vikabila viiingi sana kiasi cha kushindwa kutumia njia hiyo ndipo walipoona njia rahisi ni DINI.

sasa athari zake zinajionyesha wazi hivi sasa. Kena na Uganda kuna ukabila sana. na tanganika kuna UDINI sana.
 
Nijuavyo hakuna dini inayotetea uhalifu na pia kama hoja yake akiiwasilisha bungeni itapimwa kwa ufanisi wa mkakati wa Taifa kujikwamua kupitia rasilimali zake. Sijui! lakini muwe makini na hawa wanasiasa kwani leo atasemewa kuwa anashambuliwa kwa sababu ya dini yake (ambayo hata kuitetea hajui/ hataki) ili kiwe kigezo au nguzo ya kupitisha hoja za upogo ni ujinga nasema tena ni ujinga na sifuti kauli yangu. Turudi katika hoja za msingi tuache kushabikia porojo za waandishi wapishi wa habari
 
hata hivyo kwa sasa Nchi yetu haiendi kuzuri.Udini unaenea sna kwa kasi kama ya roketi.Utawala wa sasa unaendekeza haya mambo sana.Tusipoangalia kwishne...............
 
Sorry, sijafuatilia mambo ya bungeni hebu liweke hili wazi zaidi, hii bajeti Anne ataikwamisha kwa sababu ipi ya udini? Fafanua pls!

bi Malechela amekusudia kuikwamsiha kwa sababu ya meno ya Tembo ya kule Vietnam. Lkn Kubenea alisema kunampango wa Kumkwamisha Mwangunga kutokana na dini yake. Jee mwangunga ni Dini gani. Anna Ni mkiristo,Anaeijua Mwangunga atupe

Mzee wa Hoja,
Inaelekea wewe una hoja yako kama lilivyo jin lako. Nimesoma vizuri post yako na inaelekea unaelewa kabisa Mama Malecela anachokomalia ni meno ya tembo kukamatwa nje wakati hapa yalipitishwa.

Lakini unajua kabisa Kubenea kaleta hoja ya udini. Hivyo hapa kuna hoja mbili. Moja ya Kilango ya waziwazi na nyingine ya Kubenea ya chinichini ya udini.

Wewe unayajua yote haya. Sasa na wewe utueleze kama unazijoh=a hoja zote hizi mbili kwa nini umeamua mjadala ulale kwenye hoja ya kichinichini ambayo haina uhakika kama ipo au la.

Mooderator mimi naona watu kama hawa wanataka kupafayanya hapa JF kama mahala pa kupiga majungu badala ya kuwa Think Tank.

Hivi kuna tatizo gani mtu akileta hoja ya udini waziwazi au kichinichini wakati akili zetu zimekomaa na tukiju wazi tutaipiga chini na hiyo hoja itamuangusha ama kisiasa au kivyovyote? Je hamjiamini kwamba hoja hahfifu kama udini hamna akili ya kuzipinga? Au mmeshalewa inferiority complex na hivyo kama Kilango ana udini basi katu hamumuweazi.

Basi kama hamumuwezi ni tatizo lenu.

Lakini kubwa zaidi nieleze kwa nini umechagua hoja finyu kutengeneza mjadala.
 
Moderator,
Inaelekea kuna watu wametumwa kuchafua JF ili ifike mahala ionekane inavunja amani kwa udini. Fungia hawa watu mara moja tena moja. JF inazidi kupata umaarufu na wanachama wengi wenye akili iliyoshiba. Wakiingia na kukuta hii kitu wataiponda. Funiga hawa kabla hujafungiwa wewe.
 
Back
Top Bottom