nijothemaster
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 324
- 56
Habarini ndugu wananchi.....
Mtandao wa kijamii Telegram(wenyemfanano na Whatsapp) unakumbana na kesi yakuhusika na mlipuko uliotokea huko Urusi.....
Vikosi vya ulinzi vinautaka mtandao huo(Telegram) kuachilia data zao iliwafanye uchunguzi lkn Durov(mmiliki wa Telegram) anakomaa hataki.......
Ni same issue kama ya jamiiforum.....
Mtandao wa kijamii Telegram(wenyemfanano na Whatsapp) unakumbana na kesi yakuhusika na mlipuko uliotokea huko Urusi.....
Vikosi vya ulinzi vinautaka mtandao huo(Telegram) kuachilia data zao iliwafanye uchunguzi lkn Durov(mmiliki wa Telegram) anakomaa hataki.......
Ni same issue kama ya jamiiforum.....