Kilicho wakuta Jamiiforums ndio kinawakuta Telegram sasahivi

nijothemaster

JF-Expert Member
Jan 2, 2015
324
56
Habarini ndugu wananchi.....

Mtandao wa kijamii Telegram(wenyemfanano na Whatsapp) unakumbana na kesi yakuhusika na mlipuko uliotokea huko Urusi.....

Vikosi vya ulinzi vinautaka mtandao huo(Telegram) kuachilia data zao iliwafanye uchunguzi lkn Durov(mmiliki wa Telegram) anakomaa hataki.......

Ni same issue kama ya jamiiforum.....
 
Habarini ndugu wananchi.....

Mtandao wa kijamii Telegram(wenyemfanano na Whatsapp) unakumbana na kesi yakuhusika na mlipuko uliotokea huko Urusi.....

Vikosi vya ulinzi vinautaka mtandao huo(Telegram) kuachilia data zao iliwafanye uchunguzi lkn Durov(mmiliki wa Telegram) anakomaa hataki.......

Ni same issue kama ya jamiiforum.....
In the middle of difficulties, Rights talks for the righteous one.
 
Na ni kama kilichowakumba Apple, labda na wao hiki kikombe kitawapita.
 
Kama mtanzania tu mmiliki wa hii JF aliyashinda masahibu kama hayo natumai hata huyo jamaa mmliki wa Telegram ata win tu,,,, though sijui sheria za nchini kwao zmekaaje....
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Kama mtanzania tu mmiliki wa hii JF aliyashinda masahibu kama hayo natumai hata huyo jamaa mmliki wa Telegram ata win tu,,,, though sijui sheria za nchini kwao zmekaaje....
Jf haijashinda mkuu.
 
mkuu jambo kama hilo liliwakuta Apple vs Fbi lakini mwisho picha fbi walishindwa kupata ushirikiano
Apple inamisimamo acha kabisa.....kutafuta terrorists watumie njia zingine tu lasivyo kung'ang'aniza kupata taarifa zawatu hivi kutapoteza ladha ya mitando yakijamii
 
Sasa Russia nae analipuliwa
Sasa tutaokolewa na nan
USA anadili na waarabu

Shida yake n gas hatak
Kujua kuna viumbe watateketeA

France hata kutambaa na shda hebu Germany amken
Na nyinyi tuone kama
Mtasaidia kumaliza
Isis na wenzake
 
Tofauti ni kuwa Telegram iko encrypted end to end hakuna uwezekano wa kuwapo hizo message maana hata Telegram hawawezi kuzifungua. Jamii forum wanaweza kugawa data zetu zote wakiamua.
 
Back
Top Bottom