Kilicho nyuma ya madaktari kuomba radhi ni maagizo toka juu

wakuleta mabadiliko ndani ya nchi hii sio walim,madaktari au wafanyakazi kwa ujumla,bali ni mtanzania wa kawaida akiamua sasa basi na itakua kweli basi.!
 
JK hoyee! JK Hoyee, safi sana JK, walijaribu madaktari wameshindwa, wamejaribu walimu wameshindwa, nani sasa ataweza? JK hoyee![/QUOTE]

Umerukwa akili eti!!
 
JK hoyee! JK Hoyee, safi sana JK, walijaribu madaktari wameshindwa, wamejaribu walimu wameshindwa, nani sasa ataweza? JK hoyee!

Kwa hiyo unafurahia madaktari na waalimu kunyimwa haki zao. Wewe kama huna akili ya maiti, basi una mashiko katika serikali ya CCM[/QUOTE]

Walimu walipiga kelele hawakusikilizwa matokeo yake tunayaona,kijana anamaliza darasa la saba hajui kusoma na kuandika. Sasa madaktari wanalazimishwa kwa kubwezwa hili wazifanye kazi zao kwa matakwa ya wanasiasa, matakeo yake "wengi tutachungulia Monchwali " yangu macho
 
madaktari njaa hao, they should have considered give and take much earlier, baada ya kugundua kuna kusalitiana miongoni mwao, badala ya kujibebesha aibu namna hii............... JE MADAI YAO HAYAKUWA YA MSINGI????
 
JK hoyee! JK Hoyee, safi sana JK, walijaribu madaktari wameshindwa, wamejaribu walimu wameshindwa, nani sasa ataweza? JK hoyee![/QUOTE]

WAISILAM KUDA DADEKI....................
 
Waswahili walisema kuwa adui yako muombee NJAA; sasa hayo yametimia kwa hawa madaktari waliogoma na leo eti wanaomba msamaha kutoka kwa viongozi DHAIFU!!! Shame on you madaktari uchwara!! Madaktari wenye msimamo wamekwisha sepa na wako nje wanatumikia dhamira yao; hawa wanaojidai kuomba msamaha kutoka kwa DHAIFU watarudi kazini lakini sidhani kama kazi yao itakuwa na tija kwani wamerudi shingo upande , sawa na walimu waliorudi lakini hawafundishi!!
 
Hakuna kitu kibaya sana kama mwanadamu asiyeheshimu dhamiri yake...


JK hoyee! JK Hoyee, safi sana JK, walijaribu madaktari wameshindwa, wamejaribu walimu wameshindwa, nani sasa ataweza? JK hoyee![/QUOTE]

wamepewa shilingi ngapi kutoa tamko la kisaliti namna hiyo..na tusiwasikie tena wakilialia..njaa bwana

Mwisho wetu huenda ukawa mbaya zaidi ya mwanzo ila Mungu atakua upande wetu in the last minute
 
All in all mimi nimependa hatua yao ya kuomba radhi maana kwasasa vijana wanapigika mtaani jamani na kila mtu anakufa kivyake hakuna wakuwasemea! Serikali iwaonee huruma wataalamu hawa warudi kutusaidia watanzania.
 
Nadhani ambao wangeombwa radhi ni wananchi walioathirika na mgomo huo. Pia ilitakiwa Sewrikali ndio iombe radhi maana ndiyo mhusika mkuu katika madai ya madaktari ambayo mengi ni madai ya wananchi pia. Hadi sasa hali ya hospitali zetu sio nzuri kabisa ni muhimu kuboresha huduma za afya.
 
Waswahili walisema kuwa adui yako muombee NJAA; sasa hayo yametimia kwa hawa madaktari waliogoma na leo eti wanaomba msamaha kutoka kwa viongozi DHAIFU!!! Shame on you madaktari uchwara!! Madaktari wenye msimamo wamekwisha sepa na wako nje wanatumikia dhamira yao; hawa wanaojidai kuomba msamaha kutoka kwa DHAIFU watarudi kazini lakini sidhani kama kazi yao itakuwa na tija kwani wamerudi shingo upande , sawa na walimu waliorudi lakini hawafundishi!!
Kwa nini usitazame hivi kwamba wale waliosepa waliisha jiandaa kuondoka isipokuwa sheria tu ndio iliwazuia., Hivyo katika maandalizi ya wao kuondoka wakazua jambo. jambo likawa jambo wakafukuzwa na hivyo kujipatia urahisi wa kuondoka wakawaacha wenzao wakiyumba.. Kwa Mtanzania tumbo kwanza Udaktari ni profession kama profession nyinginezo - Walisema!
 
Nakumbuka enzi hizo vitabu viwili A MAN OF THE PEOPLE na AN ENEMY OF THE PEOPLE, cha kwanza chaweza kuwa muhimu zaidi hapa!!!!!
 
Kuwa na msimamo ni kitu muhimu. Dai kile unachoona ni haki yako. Kama hukipati amua mwenyewe cha kufanya. Unaweza hata kubadilisha utaalamu. La msingi ni maisha (survival). Ni mbaya sana kufuata mkumbo maana unakuwa huna vision.
Sisemi kwamba cdm walihusika nahisi wao wako upande wa wale wanaodai mazingira mazuri ya kazi hata ungekuwa wewe ni daktari vifaa hakuna utatoa huduma gani? Posho (remuneration) ni tatizo la kila mtu sio madaktari peke yao. Viongozi walio madarakani wanajiangalia wao tu hawana time na sisi!
 
Back
Top Bottom