Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tiririka mkuu, sababu za hizo vurugu ni nini??
ZAMBIA NAFASI YA TATU: Kili Stars imeshindwa kutamba tena mbele ya Zambia yafungwa kwa jumla ya penati 6-5 baada ya kumaliza kwa sare ya 1-1 muda wa kawaida.Mechi imesimamishwa dakika ya 88, kumetokea vurugu jukwaani na polisi wametumia gesi ya machozi, wachezaji waondolewa uwanjani, mabao 1-1.
Tatizo Ngassa muislam, asingekosa hyo penalt. #nachafua_hali_ya_hewa
Wesharud na TZ imefungwa kwa penalt.........Ngassa amekosa penalt
!
!
tanzania na mpira wapi na wapi jamani........sie tumekalia iyena iyena iyena sisiemu nambari wani
Yondani amepata?
Mazombi mawili ya yanga ndio yamesababisha tukose nafasi ya tatu