Kamgomoli
JF-Expert Member
- May 3, 2018
- 1,865
- 3,800
Naangalia mechi ya Kili Stars na Kenya, mpaka mapumziko wamepigwa 2:0 Wameishiwa mbinu,wamekata tamaa.Staili ya uchezaji ni ile ile toka mechi ya kwanza.
Timu inafungwa kocha haonesha kuwapa wachezaji wake mbinu mpya. Anaangalia tu km mtazamaji. Huyu MgundaTFF wasije fanya tena kosa km hili kumpa timu Mgunda. Hajui chochote!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Timu inafungwa kocha haonesha kuwapa wachezaji wake mbinu mpya. Anaangalia tu km mtazamaji. Huyu MgundaTFF wasije fanya tena kosa km hili kumpa timu Mgunda. Hajui chochote!!!
Sent using Jamii Forums mobile app