Oii
JF-Expert Member
- Sep 8, 2017
- 3,930
- 3,129
Hiyo huko cecafa sio Tz, ni tanganyika. Wanaitwa kilimanjaro stars, tofauti na taifa stars.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo huko cecafa sio Tz, ni tanganyika. Wanaitwa kilimanjaro stars, tofauti na taifa stars.
Sent using Jamii Forums mobile app
mashindano ya kuku hayo bingwa anapangwa..cecafa ni kama bonanza tu hakuna cha maana..mara ya mwisho tanzania na kenya kucheza kenya aliondolewa kwenye mashindano ya chan.Chochote mtakachojiita, nyie ni wale wale tu lazima tuwaoe....
Nyinyi wake zetu banamashindano ya kuku hayo bingwa anapangwa..cecafa ni kama bonanza tu hakuna cha maana..mara ya mwisho tanzania na kenya kucheza kenya aliondolewa kwenye mashindano ya chan.
Mkude naye ni 'mjinga mjinga tu' kiungo gani hapandishi timu? Hakuna magoli mengi yaliyofungwa kwa sababu viungo walishindwa kutimiza ipasavyo majukumu yao! Ukiona mabeki wanateseka jua kuwa viungo wanapwaya....Mwache Yondani bhanaHili jambo linaudhi sana.Sasa hivi Shaffi anamsifu Yondani unaweza kufikiri ni bonge la mchezaji kumbe ujinga ujinga tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkude naye ni 'mjinga mjinga tu' kiungo gani hapandishi timu? Hakuna magoli mengi yaliyofungwa kwa sababu viungo walishindwa kutimiza ipasavyo majukumu yao! Ukiona mabeki wanateseka jua kuwa viungo wanapwaya....Mwache Yondani bhana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani DAB na Boss wake wanasemaje?Naangalia mechi ya Kili Stars na Kenya, mpaka mapumziko wamepigwa 2:0 Wameishiwa mbinu,wamekata tamaa.Staili ya uchezaji ni ile ile toka mechi ya kwanza.
Timu inafungwa kocha haonesha kuwapa wachezaji wake mbinu mpya. Anaangalia tu km mtazamaji. Huyu MgundaTFF wasije fanya tena kosa km hili kumpa timu Mgunda. Hajui chochote!!!
Sent using Jamii Forums mobile app