wanamambo ya kitoto sana, hata wafanyaje ridhiki ya mtu hawaifungi, nawangekuwa wanatoa ridhiki wao kwa huyo dada sijui ingekuwaje....clouda roho mbaya haijengi ptuuuuuuuuuuuuuuu
Aisee clouds kwa hili wamedhihirisha upuuzi wao, busara hakuna kabisa kituo kizima? Hivi jide hawezi kuwafungulia mashtaka kwa hili kwa sababu wananchi wanaaminishwa yeye hagombei, kweli hapo wanasambaza upendo hivi?
Hiyo ya mtalaka wa Gadna wala siwashangai kwa sababu mwenyewe alishajiapiza hataki wamuusishe kwa lolote, kwenye hili tupo pamoja lakini musiwe munawatenda wasanii ambao hawajatoa kauli chafu kwenu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.