Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
Dr. Masaburi alimaliza kila kitu ila watu hawakumuelewa. He made it clear kwamba wabunge wa mkoa wa Dar wanatumia makalio kufikiria. Kauli zao kuhusu Dr.John Joseph Pombe Magufuli (MB) kuongeza nauli ya kivuko kutoka Tzs. 100 hadi 200 zimethibitisha hilo.
John Joseph Pombe Maghufuli (PhD) na Didas Masaburi (PhD) dhidi ya wabunge wa Dar: Ndungulile (MD), Mtemvu (?), Zungu (?). Patamu hapo