KAMANDA WA CHADEMA DAR ES SALAAM AFUNGUKA KUHUSU MSWAADA WA MABADILIKO YA SHERIA YA KATIBA KWENYE WALL YAKE YA FB. HUKU ZITTO AKIFUNGUKA TWITTER.
Harakati zozote zile zenye lengo moja la kujenga hufanikiwa, hakuna jambo lolote lile duniania lenye nia mbaya lilowahi kushinda ukweli. dhuluma, uonevu, majeshi, police, magereza, mabomu ya machozi, risasi za moto, havijawahi kushinda nguvu ya umma.
Tukiungana pamoja tukasonga mbele pamoja watatupiga watatuonea watatuumiza lakini ipo siku ukweli utashinda. Rais usisaini mswaada huwo usiyozingatia matakwa ya wananchi urudishe bungeni urudi kwa wananchi. UKWELI SIKU ZOTE UTAENDELEA KUWA UKWELI NA ukweli utashinda.
www.kilewo.wordpress.com
Harakati zozote zile zenye lengo moja la kujenga hufanikiwa, hakuna jambo lolote lile duniania lenye nia mbaya lilowahi kushinda ukweli. dhuluma, uonevu, majeshi, police, magereza, mabomu ya machozi, risasi za moto, havijawahi kushinda nguvu ya umma.
Tukiungana pamoja tukasonga mbele pamoja watatupiga watatuonea watatuumiza lakini ipo siku ukweli utashinda. Rais usisaini mswaada huwo usiyozingatia matakwa ya wananchi urudishe bungeni urudi kwa wananchi. UKWELI SIKU ZOTE UTAENDELEA KUWA UKWELI NA ukweli utashinda.
www.kilewo.wordpress.com