Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,369
- 217,430
maghembe tangu amtandike makofi yule DJ wa show yake mwenyewe alipopigiwa kile kibao cha diamond kinachoitwa MWENDAWAZIMU KAINGIAJE , NIMEMDHARAU SANA ! 2015 NI LAZIMA AANGUKIE PUA .
tunaipuuza comment yako kama tunavyokupuuza wewe mwenyewe
nilikuna na ndoto za kua asipotokea mkomboz nitakomboa mimi ila nikajipima ubavu nikaona nitapwaya nikawa namwomba mungu amlete musa huyu atutoe kwenye makucha ya mafarao hawa
fedha za mfuko wa barabara zinafanya kuporwa kwa stayle ya ujambaz.barabara ya kijiji cha kilawen yenye km 8 imetengewa tsh mil.11 za kukwangua majani tu
najua ubabe, ujuha,ushirikina wa prf.maghembe itakupa changamoto lakni kaza mlume dalili za msiba wa wazee wahafidhina wa chama kuanguka ziko wazi na tutawaangusha sisi tukiwa na kadi zao mfukon.tunataka mabadiliko na yakija hawatazuia muda ni huu anza kusogea karibu na sis wenye jimbo.
0755445878
wacha ulaghai kileo..ngome ya j4 hata ulimi huna utaiweza! wapare ni thithiem nambari wani tu avae
Kamanda Kilewo Akitoa maelekezo ya Kuanza kuwapokea Wanaccm
Waliyoamua kujivua Gamba na Kuvaa Gwanda Hali ilikuwa Nzuri
Kamanda Kilewo Akitekeleza Jukumu la Kuingiza wanachama wapya
Kamanda Kilewo Akimkabize Mzee Kadi mpya ya Chadema baada ya mzee
Huyo kurudisha kadi ya Tanu(ccm) Maeneo ya Usangi.
Peter kisumo na cleopa msuya walikua wanamsapoti Tadayo against magembe na ni kweli wanamchukia magembe,mimh ni kati ya mmojawapo niliyekua nasimamia oparesheni hiyo yakumng'oa magembe,ila alitumia ujanja mmoja kuingiza udini na ndipo alipomshinda tadayo.wapere wengi usangi waislamu abt 95prcnt,na ukikubalika usangi then umepita kote
maghembe tangu amtandike makofi yule DJ wa show yake mwenyewe alipopigiwa kile kibao cha diamond kinachoitwa MWENDAWAZIMU KAINGIAJE , NIMEMDHARAU SANA ! 2015 NI LAZIMA AANGUKIE PUA .
naona unajipigia promo humu. wana-mwanga wanaoingia humu ni 0.0000000%. wengi wetu humu tuna uraia wa Tanzania tu lakini hatuishi Tanzania achilia mbali wilaya zingine mbali na mwanga. pole.
Hivi wewe kiwelo ndo unaiwakilisha chadema mwanga? Hv nikikwambia hata nyerere afufuke kisha aje aiwakilishe chadema mwanga hapat kitu utaamini? Dah,chadema kweli mzigo. Kiwelo ana cv gan ya kuiwakilisha mwanga jamani? Yan nashangaa. Jaman mwanga sio kama jimbo la ubungo,sio kama mbeya mjini,sio kama arusha mjini,ile ni sehem tofaut kabisaa. Yan wapare wa mwanga huenda tutaifagilia chadema huku towan lakini hatutaki kabsaa kuiskia maskani kwetu. Tuache kwenda misaragambo twende kuandamana? HAICHO NKINIICHI. Cha kwanza lazma uulizwe,HAICHO UNAELIMU ANI?(Unaelimu gani?) Utajibu nini? Wana mwanga tushazoea kla tunaemchagua anaenda kuwa WAZIRI,sasa wewe kiwelo kweli? Tena chadema muache matusi kwa watu wa mwanga.nyumban kwak hakuna choo umekuja kunya uk jf (ketha uthakaje nguo kuliko mtwi)unazungumza kwa mazoea ya mwaka 1970 wakat wa vuguvugu la ubaguz wa mzee msuya na kampen za kuigawa PARE LAND na kuhamishia kila kitu uko mliman kwao usang. mambo sasa yamebadilika usang
HIZO picha ni za kuzusha pale sio usangi
Hivi wewe kiwelo ndo unaiwakilisha chadema mwanga? Hv nikikwambia hata nyerere afufuke kisha aje aiwakilishe chadema mwanga hapat kitu utaamini? Dah,chadema kweli mzigo. Kiwelo ana cv gan ya kuiwakilisha mwanga jamani? Yan nashangaa. Jaman mwanga sio kama jimbo la ubungo,sio kama mbeya mjini,sio kama arusha mjini,ile ni sehem tofaut kabisaa. Yan wapare wa mwanga huenda tutaifagilia chadema huku towan lakini hatutaki kabsaa kuiskia maskani kwetu. Tuache kwenda misaragambo twende kuandamana? HAICHO NKINIICHI. Cha kwanza lazma uulizwe,HAICHO UNAELIMU ANI?(Unaelimu gani?) Utajibu nini? Wana mwanga tushazoea kla tunaemchagua anaenda kuwa WAZIRI,sasa wewe kiwelo kweli? Tena chadema muache matusi kwa watu wa mwanga.nyumban kwak hakuna choo umekuja kunya uk jf (ketha uthakaje nguo kuliko mtwi)unazungumza kwa mazoea ya mwaka 1970 wakat wa vuguvugu la ubaguz wa mzee msuya na kampen za kuigawa PARE LAND na kuhamishia kila kitu uko mliman kwao usang. mambo sasa yamebadilika usang
We kweli DAVA. Bora chadema muwakilishwe na n.y.a n'.gau mwanga kuliko hcho kituko.
pepoooooo00000