PISTO LERO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,819
- 1,454
Kamanda Kilewo Akitoa maelekezo ya Kuanza kuwapokea Wanaccm
Waliyoamua kujivua Gamba na Kuvaa Gwanda Hali ilikuwa Nzuri
Kamanda Kilewo Akitekeleza Jukumu la Kuingiza wanachama wapya
Kamanda Kilewo Akimkabize Mzee Kadi mpya ya Chadema baada ya mzee
Huyo kurudisha kadi ya Tanu(ccm) Maeneo ya Usangi.