Darucha
Senior Member
- Dec 28, 2020
- 111
- 206
Jamani embu tuambieni Kati ya vilevi hapo Chini ukimuona mtu anatumia huwa una muona wa ajabu sana yaani hajitambui(hopeless and useless man).
1. Ugolo
2. Gongo
3. Bhangi
4. Mirungi
5. Konyagi na Valeur bila kusahau K vant
6. Mataputapu mengine(ulanzi, kindi, viduchu, kimpumu, kimono n.k)
Njooni mshee jamani walevi wa hivyo vitu hapo juu najua mtapinga sana huu Uzi lakini Sina namna itabidi msemwe tu---- karibuni jamani
1. Ugolo
2. Gongo
3. Bhangi
4. Mirungi
5. Konyagi na Valeur bila kusahau K vant
6. Mataputapu mengine(ulanzi, kindi, viduchu, kimpumu, kimono n.k)
Njooni mshee jamani walevi wa hivyo vitu hapo juu najua mtapinga sana huu Uzi lakini Sina namna itabidi msemwe tu---- karibuni jamani