Kila Watoto 119 Wanaozaliwa China, 100 ni Wanaume!

Buchanan

JF-Expert Member
May 19, 2009
13,199
1,969
Jamani muda si mrefu wanaume huko China watabaki mabachela miaka yao yote baada utafiti wa kushangaza kuonyesha kwamba kwa kila watoto 119 wanaozaliwa 100 ni wanaume, kwa maana hiyo 19 tu ni wanawake! Sasa wale wanaooa wanawake wawili wawili, watatu watatu au wanne wanne wako hatarini kuporwa wake zao siku za usoni (just thinking loudly!).

SOURCE: http://news.bbc.co.uk/2/hi/asia-pacific/8451289.stm
 
recipe for highest gay population in one country after 20 years
 
Jamani muda si mrefu wanaume huko China watabaki mabachela miaka yao yote baada utafiti wa kushangaza kuonyesha kwamba kwa kila watoto 119 wanaozaliwa 100 ni wanaume, kwa maana hiyo 19 tu ni wanawake! Sasa wale wanaooa wanawake wawili wawili, watatu watatu au wanne wanne wako hatarini kuporwa wake zao siku za usoni (just thinking loudly!).

SOURCE: http://news.bbc.co.uk/2/hi/asia-pacific/8451289.stm
Embu angalia vizuri hiyo niliyoweka katika rangi nyekundu!
hapo umekosea mahesabu yako! kwa mahesabu yako unamaanisha katika kila watoto 119 wanaozaliwa basi wasichana ni 19 na wavulana ni 100 kitu ambacho ni kinyume na walivyoelezea wao!

Wao wanasema katika kila wasichana 100 wanaozaliwa basi wanazaliwa pia wavulana 119. Kwahiyo unaweza kusema tu kwamba idadi ya wavulana inazidi ya wasichana kwa 19.

Nyongeza:

Nadhani utafiti wao unazungumzia 'study boundary' ya wasichana 100; kwahiyo ukibadili study boundary pia idadi ya wavulana itabadilika vile vile.
 

Embu angalia vizuri hiyo niliyoweka katika rangi nyekundu!
hapo umekosea mahesabu yako! kwa mahesabu yako unamaanisha katika kila watoto 119 wanaozaliwa basi wasichana ni 19 na wavulana ni 100 kitu ambacho ni kinyume na walivyoelezea wao!

Wao wanasema katika kila wasichana 100 wanaozaliwa basi wanazaliwa pia wavulana 119. Kwahiyo unaweza kusema tu kwamba idadi ya wavulana inazidi ya wasichana kwa 19.

Nyongeza:

Nadhani utafiti wao unazungumzia 'study boundary' ya wasichana 100; kwahiyo ukibadili study boundary pia idadi ya wavulana itabadilika vile vile.

You are absolutely right, nilipitiwa wandugu, sikuwa na nia ya kupotosha. Hata hivyo idadi ya watoto wanaume wanaozaliwa ni wengi kuliko wanawake: "119 boys born per 100 girls. Rises to 130 boys per 100 girls in some rural areas."
 
Hawa wachina lazima kuna aina fulani ya chakula wanachokula kinachosababisha kuzaliwa wanaume kwa wingi,sio bure.
 
You are absolutely right, nilipitiwa wandugu, sikuwa na nia ya kupotosha. Hata hivyo idadi ya watoto wanaume wanaozaliwa ni wengi kuliko wanawake: "119 boys born per 100 girls. Rises to 130 boys per 100 girls in some rural areas."

"119 boys born for every 100 girls. Rises to 130 boys for every 100 girls in some rural areas."
 
Hawa wachina lazima kuna aina fulani ya chakula wanachokula kinachosababisha kuzaliwa wanaume kwa wingi,sio bure.

Haya ndio madhara ya one child Policy iliyoko China.
Kwa sababu ya hii sheria, baadhi ya Wazazi hupendelea mtoto wa kiume na mara nyingi wakifanya ultra sound na kugundua mimba iliyotunga ni mtoto wa kike baadhi yao hutoa mimba hiyo, matokea ndio hayo yanayoonekana.

Hii ni mbaya na ukatili.
 
Haya ndio madhara ya one child Policy iliyoko China.
Kwa sababu ya hii sheria, baadhi ya Wazazi hupendelea mtoto wa kiume na mara nyingi wakifanya ultra sound na kugundua mimba iliyotunga ni mtoto wa kike baadhi yao hutoa mimba hiyo, matokea ndio hayo yanayoonekana.

Hii ni mbaya na ukatili.

hili nalo neno, sasa October swali kwako kwa kunisaidia mimi, kwa nini wanapendelea watoto wa kiume kuliko wa kike?? (am just curious)
 
Back
Top Bottom