Elections 2015 Kila uchaguzi unapoteza kura yako, hujachelewa badili maamuzi leo mpe Magufuli kesho

Lakini leo hii hata hao wachache hawathaminiwi badala yake limezuka kundi la mabedui wachache ndio wanaitafuna nchi watakavyo kwa kujiona ni mungu watu, Mwenyezi Mungu awalaani hao mabedui waliojificha kwenye jina la wazalendo

Maamuzi tunayo ya kuwaondoa mumiani,mafisadi na majizi.
 
Kwa mada hii kidogo tu kuna kitu nimejifunza. Nikweli Mh. Lowassa alishinda uchaguzi. Ila haya mafedhuli yanajifanya yanajua kuchezea haki za watanzani. Mungu atawalaani ipo siku yaja
Jamaa Lowassa hakushinda
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom