kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 14,086
- 15,930
- Thread starter
- #81
Huyo lissu!Ajiandae kunyea debe
Huyo lissu!Ajiandae kunyea debe
Tatizo unafikiri kila mtu anapenda ligi kama wewe.Ripoti ya uchunguzi imetoka!
Huyo lissu!
Dadadeeeeki bundle limekata shemeji yako kagoma kutoa pesa!Ikitoka ya walio mshambulia rais wetu Lissu baada ya October lazima ukanyee debe kunguni wewe
Ataanza kunyea huyo raisi wenu akitia mguu tu akajibu mashtaka kwanini alijaribu kujiua!
Vipi ndio umeunga kifurushi cha chuo!Wewe na babu zako
Mtanyooka tu!Amakweli mazuzu wa lumumba mnaliangamiza taifa
Dadadeeeeki bundle limekata shemeji yako kagoma kutoa pesa!
Kazi unayo!Wewe na babu zako
Vipi ndio umeunga kifurushi cha chuo!
Kazi unayo!
Unafikiri sikukuona ulivyokua ukinyata nisikione na mkokoteni wako wa maji!Unadhani mimi ni kula kulala kama wewe? Asubuhi nimekukuta umasafisha baiskeli ya shemeji yako pale mwanamtoti
Jasho gani mpaka ujaze maji kwa shemejiAfadhali yangu ninajiunga kwa fedha ya jasho langu kuliko wewe kutegemea chakubanga
Jasho gani mpaka ujaze maji kwa shemeji
Naona anamgombeza dada yako umekuwa jeuri sasa!Hata wewe kazi yako ya kumnyooshea nguo shemeji yako pia ni kazi maana unapata kula na kulala bure
Tena ameamua kwenda kupiga ulabu ili asikuonee haya aje akutimue!Utumwa huo unao wewe
Leo hii naona utapiga angalau buku 14Naona anamgombeza dada yako umekuwa jeuri sasa!
Wanahoja upinzani una vioja!Namtafuta mke wangu Bia Yetu, nina siku 3 sijamtia machoni. Kwa bunge hili la Ndugai ameongoza bunge lililojaza mataahira kutoka CCM
Vipi unaomba poo!Leo hii naona utapiga angalau buku 14