The hammer
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 2,381
- 1,760
Wabinafsi sana na ushirikina
Ni sehemu gani huko ambako ni washirikina sana.Taja eneo ulilofika ukaona hivyo.
Wabinafsi sana na ushirikina
Mshana JrWapare wanasifika kwa bajeti nzuri, ila wanazushiwa eti niwafupi wakati sio kweli
Huo thi mshombe kangi ni mshurumbiipere thi kindu, kindu ni mshombe
Kiazi kweli weweNi wabahili sana na wanaweza kula ugali kwa picha ya samaki. Jogoo ni mpaka azeeke kabisa ndo watamchinja,na wanapenda makande sana chakula ambacho mi sikipendi.
Ndo ujue tcra washafanya yao...searching...........
loading..............
No network......
Umenichekesha kweli yaaniwapare ni wabahili sana,, samaki anapikiwa mchuzi mara 2 alafu jirani anakuja kumuazima tena huyo samaki anaenda kumpikia tena mchuzi kama mara mbili ivi anarudisha kwa mwenyewe tena,, mambo gani haya!!!
Wapare kesi ya kuku anauza ngombeWapare wanasifika kwa bajeti nzuri, ila wanazushiwa eti niwafupi wakati sio kweli
wanapenda kesi na fitina
Wapare wana methali ya kusema Usile muwa mbele ya mkweo sijui wanamaana gani.Umenichekesha kweli yaani
Hahahhaha hii kaliwapare ni wabahili sana,, samaki anapikiwa mchuzi mara 2 alafu jirani anakuja kumuazima tena huyo samaki anaenda kumpikia tena mchuzi kama mara mbili ivi anarudisha kwa mwenyewe tena,, mambo gani haya!!!