Kila siku wachaga tu, leo sema chochote kuhusu wapare

wapare ni wazuri wa sura na maumbo, wengi wana maumbo namba 8 na wanamgongo wa kibantu haswaa, mambo ya 6*6 huwawezi, ukioa mpare lazma uendelee sbb ni wachumi,wanaakili ya darasani sana, na pia wanajua kupenda kiukweli ukweli.

kuanzia leo namtafuta mpare, vigezo na masharti kuzingatiwa!
 
wapare ni wabahili sana,, samaki anapikiwa mchuzi mara 2 alafu jirani anakuja kumuazima tena huyo samaki anaenda kumpikia tena mchuzi kama mara mbili ivi anarudisha kwa mwenyewe tena,, mambo gani haya!!!

dah!!! Hii balaaa!!
 
aseeee......mthofe, kuna jamaa mmoja anaitwa mthuya wa pale kilomeni, mrefu kidogo kwa tairi ya gari yangu!!
 
Hivi mnatusema wapare wafupi kwa reference ipi? Mbona mie nilikaa kwa waruguru na walikuwa wananiita super tall.
 
hawa Watani wangu bana, wanapenda kuvaa nguo mpaka ichakae kabisa na kiatu kitoboke ndo wanunue kipya
 
wanawake wa kipare ni noma kitandani,wanakimbiza kama wazigua. Huwezi kuwalinganisha na wasoma magazeti wa kichaga.


aah sio kweli bhana wapare wabairi mpaka kwenye penzi mkifanya kimoja tu anakwambia inatosha na kesho tena xo na madandara!!!!!!!!!!!!!!
 
wapare ni wabahili sana,, samaki anapikiwa mchuzi mara 2 alafu jirani anakuja kumuazima tena huyo samaki anaenda kumpikia tena mchuzi kama mara mbili ivi anarudisha kwa mwenyewe tena,, mambo gani haya!!!
duh hiii kali sana. hahahahahah
 
Mifano ya majina ya watoto
wakipare Majina ya kike: (Mazina a vabora va
Chasu) Ingiahedi, Itikija, Kafue, Kapingu,
Kapwete, Kodawa, Kokiambo,
Komkwavi, Kompeho, Kondisha,
Ludao, Mchikirwa, Mshinwa, Naanjela,
Nacharo, Naetwe, Nafue, Nahuja,
Nakadori, Nakiete, Nakijwa, Nakimo, Nakunda,
Nakundwa,Namkunda,Nabera,Nangasu,Naomba,
Nambike, Nampingu, Namshitu, Namsi,
Namwai, Namwasi, Nangena, Nanguji,
Nanguma, Nankondo, Nanyika,
Nanza, Nanzano, Nanzighe, Narindwa, Nasero, Nashumbwe, Natujwa,
Navoneiwa, Navuri, Navushiku,
Ngalakere, Nghuhia, Niendiwe,
Nietiwe, Ntevona, Shode, Yunesi, Majina ya kiume: Bumija, Chali, Chaligha, Charo,
Charema, Chuma, Elieseri,
Eliesikia,Elinighenja,Elibariki,Elifazi,
Elitumaini, Fue, Ghuheni, Gurisha,
Ibwe, Igaria, Irigo, Irira, Kadio, Kadiva,
Kajiru, Kakore, Kalage, Kalimbo, Kalinga (Jina hili pia lipo Mkoa wa
Iringa), Kambaita (Jina hili lipo pia kwa
Wachagga), Kaniki, Kanyempwe, Karia
(Jina hili lipo pia kwa Wachagga),
Kateri, Kazeni, Kazoka, Kejo, Kiandiko,
Kiandiko, Kiangi, Kiariro, Kideghedo (Same), Kideghesho (Mwanga), Kihara,
Kijo, Kilave, Kileghe, Kileng'a,
Kinenekejo (Wengine hufupisha na
kuita Kejo), Kintungwa, Kipesha,
Kisamo, Kisenge, Kitojo , Letei, Liana,
Linga, Lukiko, Lukio,Lukungu, Lusingu, Macha (Jina hili lipo pia kwa
Wachagga ambapo kwao ni Ukoo),
Machwa, Madoffe, Maghembe (jina hili
lipo pia kwa Wasukuma likiwa na
maana ya majembe), Maliondo,
Mapunjo, Mashuve, Mbajo, Mbasha, Mbazi, Mbonea, Mbuji, Mcharo, Mding'i,
Mgheni, Mhando (Jina hili pia lipo
mkoa wa Tanga), Minja (Jina hili pia
lipo kwa Wachaga ambapo kwao ni
Ukoo), Mkodo, Mkwavi, Mlavwasi,
Mmari (Jina hili lipo pia kwa wachaga lakini maana zikiwa tofauti. Kwa
Wapare lina maanisha mtafuta mali),
Mnaro, Mndima, Mntambo, Mntindi,
Mnyindo, Mrekwa, Mrimi, Mrinde,
Mrindwa, Mrindoko, Mrio, Mroki,
Mshigheni, Mtango, Mtengeti, Mtera, Mteti, Mwanyika (Jina hili pia lipo Mkoa
wa Iringa), Mweri, Mweta, Mzangaze,
Nachai, Ndago, Ngasu, Ngomoi
(Same), Ngomuo (Ugweno), Nguve,
Ngwijo, Niarira, Nisaghurwe, Nkima,
Ntarishwa, Ntekaniwa, Nyange (Jina hili lipo zaidi kwa Wachagga lakini
linatumika hata kwa wapare. Kwa
Wachagga ni ukoo ambapo kwa
Wapare ni jina tu la kawaida), Nzao,
Nziajose, Nziamwe, Ojuku, Ombeni,
Pekea, Ringo (Jina hili lipo pia kwa Wachagga ambapo kwao ni Ukoo),
Sechome, Sechuma, Sefue, Semboja,
Sempeho, Sempombe, Semu, Sengasu,
Sengondo (Mwanga), Senguji,
Senkondo (Same), Senkoro, Senzia,
Senzota, Sevuri, Shaghude, Taseni, Tenga (Jina hili pia lipo kwa Wachagga
ambapo kwao ni Ukoo), Tenshigha,
Teri,Twazihirwa,Warema,Zihirwa,
Zihirwani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom