Vawulence
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 1,928
- 2,101
Sasa mbna mnadiscuss wachaga badala ya wapare.! Mnachakachua thread
Hakuna cha kujadili juu ya wapare.
Sasa mbna mnadiscuss wachaga badala ya wapare.! Mnachakachua thread
tofauti ya wapare na wachaga ni WAPARE wanatumia nguvu zao kutafuta mali zao za halali na WACHAGA kazi yao ni kuibia wenzao na kutoa ndugu na watoto wao kafara ili watajirike.
aa kumbe umenitamani, mi nilidhani umenilove!nimekutamani gafla
searching...........
loading..............
No network......
baba yangu ni mrefu kama msomali halafu nimefanana naye kishenziHakuna'ga mpare mrefu, kacheki dna na mzazi wako wa kiume inawezekana enzi zile madha ako anaenda benki pale moshi mjini alikutana na kijana wa kichaga aka.....oh no its just a joke!
Ukiona hivyo ujue babu yako ana asili ya Kibosho. Stuka!baba yangu ni mrefu kama msomali halafu nimefanana naye kishenzi
imeandikwa usitamani mke wa jirani yakonimekutamani gafla
mbona hajaoza meno?Ukiona hivyo ujue babu yako ana asili ya Kibosho. Stuka!
hahahaa umenikumbusha umbo la jirani yangu ma kimaro kama sanamu la micheliniWapare hawana tofauti na midoli
Wanagawa sana
wamekamilika idara zote.Hakuna cha kujadili juu ya wapare.
Sasa mbna mnadiscuss wachaga badala ya wapare.! Mnachakachua thread
Shighana na vakwazi mkwea.
kivipi?wamefulia
Wapare kiherehere !
Wanaongea sn
wengi wazinzi
wanapenda kesi
wachoyo
wengine wachawi
aaah wapare bhanaa
ufupi si ugonjwasio wote lakini wengi wao ni wafupi...