live on
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 772
- 1,249
Watanzania huwa hatueleweki watu hatukai tukapumua Ndege! Ndege! Tena sana sana wasusukuma
Hivi nyinyi katika sikuku za kiserikali hamuonagi zile ndege za jeshi zinavyo kwenda kasi kuliko hizi za ndoto iliyonyooka au mnazani hizi huwa azinunuliwi
Ila sema tatizo hizi za kijeshi hazinaga mapokezi pale airport tena huwa zinakuja usiku wa manane
Hivi nyinyi katika sikuku za kiserikali hamuonagi zile ndege za jeshi zinavyo kwenda kasi kuliko hizi za ndoto iliyonyooka au mnazani hizi huwa azinunuliwi
Ila sema tatizo hizi za kijeshi hazinaga mapokezi pale airport tena huwa zinakuja usiku wa manane