Kila ninayemtogoza ananikataa, nifanye nini?

B22

Member
Mar 31, 2021
22
43
Mwenzenu na mwaka wa nne sasa hivi. Kila msichana ninayemfuata mimi hajawahi kunikubalia na wengine wananikataa kwa dharau sana halafu wasichana ninaowafuata ni wakawaida mno. Mwanzoni niliona kawaida ila sasa hivi naona kama ni tatizo.

Naomba ushauri wenu.

1626674481853.png

 

Similar Discussions

3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom