Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo huwa nafata wengne wa kawaida mnotafuta kitu ambacho huna alafu kuwa nacho
Jiwe Alisema Bwana Bure HayupoHata hela ya mboga unayo??
Sio kwamba Sina kitu...vipesa vipo vipo ..Kuna muda nilikua smart mno na pesa ninayo lakini wapHata hela ya mboga unayo??
Sio kwamba Sina pesa kabisaJiwe Alisema Bwana Bure Hayupo
Hio Kali asee ...serious ili tatizo limeniaffect kisaikolojiaPulizia pafyumu kwenye ulimi.
Sio Sana Ila nikawaidaUNA PESA?
Maji ni dawa auHaya kunywa maji kwanza
Tafuta pesa ndugu yangu.wanawake wengi tuna dharau.
Tatzo Imani yangu ipo kwa MUNGU na nafanya maombi kuvunja roho za maagano juu yanguHadi makahaba wanakukataa?
Anyway jaribu upande wapili yaani kawaone watalaamu wa jadi wanazo dawa za mvuto
Kaka mm sitaki wanaojiuza ...natakua kwenye mahusiano but Kila ninaemfuata hanitaki na ananikataa kwa dharau sanahadi wanaojiuza hawakutaki?