Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,579
- 50,668
Tuko pamoja Chief 🥂Ukitaka kupima busara kwenye kundi la watu na kufahamu their 'their true colors', waambie shit. Katika kundi kubwa la watu kwenye thread hii nimeona una busara mno, wewe ni mama bora ikiwa una mtoto, kama umeolewa wewe ni mke bora. Nimekupima tangu siku ya 1 naona 'quote' yako, hukujibu 'shit' japo nilikuambia 'shit', sisemi mengi.