malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 2,780
- 2,706
Habari wakuu,
Nimekuja kwenu kutaka fikra na mawazo.. Niko ktkt biashara ya duka la jumla la vyakula kwa muda Sasa changamoto iliyopo kila mshindani wangu analenga kushika wateja soko kwa kushusha Bei chini Zaid nami nimekua nikishuka nao..
Sasa Basi Hali hii imepelekea kuzid kukupunguza faida ktk kila bidhaa matokeo yake unajikuta ktk bidhaa unayoiuza 56000 unabakiwa na faid200.
Na ukisema ubaki na bei juu tofaut na washindani wako Basi wateja wengi hukimbilia kwa wenye Bei ndogo Zaid maana soko ni dogo wateja niwale wale mnafanya kugawana wateja kwa mbinu ya kushusha Bei.
Wakuu nin nifanye nitoboe maana nawaza mbinu nyingi Zina feli.
Nimekuja kwenu kutaka fikra na mawazo.. Niko ktkt biashara ya duka la jumla la vyakula kwa muda Sasa changamoto iliyopo kila mshindani wangu analenga kushika wateja soko kwa kushusha Bei chini Zaid nami nimekua nikishuka nao..
Sasa Basi Hali hii imepelekea kuzid kukupunguza faida ktk kila bidhaa matokeo yake unajikuta ktk bidhaa unayoiuza 56000 unabakiwa na faid200.
Na ukisema ubaki na bei juu tofaut na washindani wako Basi wateja wengi hukimbilia kwa wenye Bei ndogo Zaid maana soko ni dogo wateja niwale wale mnafanya kugawana wateja kwa mbinu ya kushusha Bei.
Wakuu nin nifanye nitoboe maana nawaza mbinu nyingi Zina feli.