Carleen
JF-Expert Member
- Nov 6, 2018
- 7,501
- 25,103
Nini ambacho hakivutii zaidi marehemu Lucky Dube.??Niwe tu mkweli kiukweli dada avatar yako haivutii
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Nini ambacho hakivutii zaidi marehemu Lucky Dube.??Niwe tu mkweli kiukweli dada avatar yako haivutii
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Shukran MkuuUshaur mzuri.
Hama hapo nyumbani au karibu na wao hakikisha mnaonana kwa mwaka mara moja au kama kuna sababu za lazimaKila nikiwa na mahusiano lazma dada na mzazi (mama) waniambie mwanamke hanifai na nikimuacha wanaanza kunisengenya kuwa siwezi kuishi na mwanamke.
Hali hii inasababishwa na nini?
Watakaoishi na huyo mwanamke ninwao au wewe?Kila nikiwa na mahusiano lazma dada na mzazi (mama) waniambie mwanamke hanifai na nikimuacha wanaanza kunisengenya kuwa siwezi kuishi na mwanamke.
Hali hii inasababishwa na nini?
Umeniwah mkuu.Nilitaka kumwambia awaoe wao.aombe kuwaoa wao na wakiona amewakosea heshima basi awaambie na wao waache kumkosea adabu kwa kumpangia mwanamke wa kulala naeMuoe dada yako uone Kama watamkataa na yeye.
Lucky dube kafufuka ilikuwaje umerudi duniani umesahau nini?Niwe tu mkweli kiukweli dada avatar yako haivutii
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Niukweli eti sio uongooMuombe mama ako akuruhusu kumuoa dada ako sasa tuone kama atasema pia hafai
Hahaa, ila kiukweli ukiwa lege lege Mama na masister zako wanakua very sensitive na mtu wa kumuoa. Hawawezi kubali uwe na mwanamke sharp(Mjanja mjanja).Labda wanataka uishi na Mwanaume.
Ila naona wako sahihi, maana hujisimamii kiume.