Kila nikimwona Binti kavaa nguo za kutega Jamaa Anasimama!!

Kuna mtu mmoja alisema humu kuwa ingekuwa kama Bluetooth tungekuwa tunaingia kinyemela, tukamkatalia maana nayo lazima mtu afungue.
sasa hata hili ni two way akubali mweze ku DO, na kama mzee anasimama that sudden, bado labda hizo REVOLA MAANA NI WEWE TU!

Hiyo REVOLA itabaki kuwa SOAP 2 na wala haiwezi kubadili kitu hapo!!
Huwezi kufananisha ile ki2 na Revola ingekuwa hivo hata 2cngewafind tena mabinti na kuoa kucngekuwepo kama 2ngekuwa 2naridhishwa na REVOLA!!!
 
Du! kuna vikongwe kibao tunagongana kupurchase mizigo michangaaaa! Hii issue ndugu labda itapungua kidogo lakini kwa wanaume inaisha ukiwa mzeee sana.
hata ukifanya mazoezi bado ukirudi mambo pale pale! jamani acheni masihara msione watu kila wakati hawapo majumbani mwao!!!
huo ni ujana na hizo ndio adha za ujana.ila baada ya miaka michache tu hali itabadilika.kwa sasa fanya mazoezi ili uwe unachoka vya kutosha ili akili isiende kabisa kwenye hayo mambo.pia kwa kujisitiri zaidi vaa nguo nzito kidogo ndani.e.g waweza vaa boxer plus chupi ili kukomesha jamaa hata akisimama isije ikawa mushkeli kwa waliombele yako
 
Ushauri wangu acha kutamani wapita njia oa upate FULL DOZI na hako ka ugonjwa kataisha ila kama utaendekeza mwili tegemea mzee H.I. V kubisha hodi kwa spidi
Halafu kwa kifupi wengine si wapita njia, ni wategaji na vijinguo na mara nyingine watu wa kawaida tu!
Ila hii hali dawa yake nini Jamani??
maana wake zetu nao wanakuwa na vijiratiba vya hapa na pale unaweza usiridhike vile jamaa anataka! ila inafika wakati nawe kimyaaaaa kama hayupo vile!
 
Muda wa kuoa bado but hata walioko kwenye ndoa ndo wanaongoza kuwa na SMALL HOUSE!!!
Wao tatizo lao ni nini??

Ushauri wangu acha kutamani wapita njia oa upate FULL DOZI na hako ka ugonjwa kataisha ila kama utaendekeza mwili tegemea mzee H.I. V kubisha hodi kwa spidi
 
Ushauri wangu acha kutamani wapita njia oa upate FULL DOZI na hako ka ugonjwa kataisha ila kama utaendekeza mwili tegemea mzee H.I. V kubisha hodi kwa spidi

hii avatar yako sio vasco da gama huyu ..teh teh nimemkumbuka mkwere
 
teh teh anasimama kama tunavyosimama bendera ya taifa ikiwa inapandishwa??lol...ndio uanaume....jitahidi kutowaza ngono muda wote....jifunze kuwa na self discipline sie wanawake hatupendi kuwa na mwanaume anayesimamisha kila wakati..aka kib...lo dinda..utashangaa unabwagwa bwaga hovyo na wadada na usijue tatizo ni nini...:teeth:
 
Ukiwa ticha halafu unafundisha wasichana au wanawake laziiiiiiiiiiiiiiima uwe na discpline kali sana, otherwise uataacha kazi kwa aibu/kufungwa au vyote pamoja.
maana katika rika lenye mvuto, au wadada wanaopendeza kama wanafunzi.
sasa twende kwa hawa wanaotutega kwa makusudi, tufanyeje??
Duh! Umeona hiyo nayo ni funny??!!
Kuna ticha 1 aliwahi kutegwa na denti, jamaa akasimama si mchezo ikabidi Ticha atoke class kuepusha aibu!!
 
teh teh anasimama kama tunavyosimama bendera ya taifa ikiwa inapandishwa??lol...ndio uanaume....jitahidi kutowaza ngono muda wote....jifunze kuwa na self discipline sie wanawake hatupendi kuwa na mwanaume anayesimamisha kila wakati..aka kib...lo dinda..utashangaa unabwagwa bwaga hovyo na wadada na usijue tatizo ni nini...:teeth:
Huwezi kujua kuwa jamaa kasimama maana ikitokea hivyo mara moja pozi hutafutwa kupotezea hali hiyo.
Ni noma kwani unafikiri mtu anaamua kufikiria ngono! mamaa inaanza ghafla mara kitu juu!!!!!...
 
Yenye rangi tofauti,sumtym huwa 2napinda wakati inapandishwa uneongelea RULER angalau nigekuelewa!
Hiyo inatokea 2 wala sio kuwaza mambo flan ya faragha,
Mbaya zaidi sijawahi kubwagwa na mwanamke coz huwa natoa FULL DOSE lakini hili tatizo dawa yake ni nini??!!

teh teh anasimama kama tunavyosimama bendera ya taifa ikiwa inapandishwa??lol...ndio uanaume....jitahidi kutowaza ngono muda wote....jifunze kuwa na self discipline sie wanawake hatupendi kuwa na mwanaume anayesimamisha kila wakati..aka kib...lo dinda..utashangaa unabwagwa bwaga hovyo na wadada na usijue tatizo ni nini...:teeth:
 
Mwingine akijaribu kupunguza kuwaza ngono ndio anajikuta anawaza NGONO
pole
nikawaida ..urijari uo bt jaribu kuwa na demu wako...au km unaye uwe unamalizana nae mzigo kamili siyo mnapena nusu nusu ukitoka nje ukiona paja kitu inastand up....PUNGUZA KUWAZA NGONO...wewe ukiona mapaja tu akili yako unaiamisha unaipeleka kuleeeeeee...jaribu kujicontrolll...POLE
 
Hiyo kawaida mkuu ila cha kufanya sasa ukiwa na demu wako akikisha unamaliza mambo yote na ziada ili yasikutokee ukiwa mtaani ni noma utatembea umeweka mkono mfukoni sasa.
 
shida unayo,na dunia ya sasa hakuna nidhamu ya mavazi! Vazi la usiku litavaliwa mchana,la ufukweni litavaliwa sehemu tofauti. Ni changamoto kwa dunia tuliyopo. Vyuoni ndo kunachemka,ila nadhani inabidi Tanzania/vyuo/maofisi ya-review sheria za mavazi9kama zipo)
 
Wana JF habari za weekend?

Mimi ya kwangu ilikuwa bomba lakini ninaomba msaada wenu kwa hili!
Mimi nina tatizo kabwa huwa linanisumbua ingawa sio mara kwa mara coz huwa linatokea mara mojamoja sana!

Kuna baadhi ya siku huwa jamaa ha2lii ndani ya underwear coz huwa anasimama pindi 2 aonapo kiumbe mrembo kavaa nguo ya kutega(I mean skirt fupi na Matiti kuacha wazi)!!



Kuna wakati hiyo hali hainitokei kabisa hata akipita kiumbe wa namna gani na kavaa nguo ya aina yoyote!!!

Jamani naomba mawaidha yenu huu ni ugonjwa au nini kinanisumbua na kuleta hii hali ndani ya mwili wangu??!!


Kweli we injinia, ni hali ya kawaidatu tu mkuu.inategemea na siku hyo upo katika mud gan,
labda unadindisha hua unakua na mawazo ya kingonongono au mshawasha, au labda kutokana na vyakula uivyokula jana yake (karanga mbich, maziwa, mihogo mibichi, asali, korosho n.k so plas kuona basi hali inakua tete. lakini pia unapokua hudundishi ujue konsewntreshen yako hua mbali kabisa na ngono, labda upo frustrated na projects za construction, au biashara zako zmeyumba kdogo, au hata huyo huyo bibie kakuudh!
Pole mkuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom