kitambiflat
Senior Member
- Oct 16, 2015
- 163
- 228
Salaam wanajamvi,
Naomba nishee hii kitu cjui inanipata pekeangu au laa!! kila nikimaliza Ku do (sex) nasikia muwasho wa utamu ndani ya uume, I mean kwenye njia ya sperm huwa panawasha hadi inafikia nakuna uume kwa mkono upande wa chini kwenye lile bomba, at that time nikienda kukojoa utamu wa muwasho huongezeka zaidi.
Hii kitu imentokea kwa muda sasa mwanzo nilifikiri labda ugonjwa lakini hapana ni zaidi ya miaka mitatu sasa!
Je, ina madhara yoyote?
Naomba nishee hii kitu cjui inanipata pekeangu au laa!! kila nikimaliza Ku do (sex) nasikia muwasho wa utamu ndani ya uume, I mean kwenye njia ya sperm huwa panawasha hadi inafikia nakuna uume kwa mkono upande wa chini kwenye lile bomba, at that time nikienda kukojoa utamu wa muwasho huongezeka zaidi.
Hii kitu imentokea kwa muda sasa mwanzo nilifikiri labda ugonjwa lakini hapana ni zaidi ya miaka mitatu sasa!
Je, ina madhara yoyote?