Kila Nikilala chali naota nyoka wa kutisha.

Mimi pia, hata kujigeuza au kutingishika inakua tizi hata nimuite mtu mie nadhani ananisikia kumbe hola kinatesa sana hata kupumua kunakua kwa tabu sana sikuhizi sitaki kabisa habari za kulala chali mimi labda mchana maana nimejaribu kufanya utafiti wa kulala chali mchana kama litanikaba lakini hamna ila usiku sasa mama yangu ni balaa!!!
Na ukistuka usipokuwa makini unaweza kuanza marathon ya kiana moyo unadunda Dunia nzima mimi hata mchana shuhuli ipo pale pale, tena ndio balaa maana huwa nafumbua macho kabisa lakini siwezi kufanya kitu chochote nalazimishwa niyafumbe ili balaa liendelee.
 
Pole sana Mkuu..Acha kulala chali lala kiupande upande







Mungu Ibariki Tanzania
Mungu Ibariki Chakwale
Mungu Ibariki Gairo
 
Kwa Mujibu wa Ilimu ya Bw. Mshana Jr jaribu kuweka chumvi mawe katika kona zote za chumba chako. Wastan wa nusu mkono. I think utaja confess hapa.
 
Pole Sana labda ubadilishe mtindo wa kulala.

Nakumbuka kipindi nipo chuo ,nilipokua nikilala mchana naota naangaliwa na nyoka mkubwa ana coin za gold zinan'gaa Sana..akiwa anaondoka nami nastuka usingizini, ila niliacha kuota vile.
 
Ukiendelea kulala tuu basi huko huko ndotoni utageuka nyoka na ukikutwa na wengine waoota huko huko wanakubonda kichwa alafu kwa ulimwengo wa kawaida ndo unaonekana sasa "marehemu alifia usingizini"
Ahaa
 
Kwa Mujibu wa Ilimu ya Bw. Mshana Jr jaribu kuweka chumvi mawe katika kona zote za chumba chako. Wastan wa nusu mkono. I think utaja confess hapa.
Duuu!!!

Hayo si masharti ya mganga kweli
 
Sijui na matatizo gan wachawi, waganga na wajuvi wa njozi mnisaidie.

Kila nikilalia medulla oblongata au kulalia kisogo lazima niote ndoto za kutisha za nyoka nyoka saa nyingine kama nakua naye kitandan .

Siku nyingine naota kama huyo anataka kuningata lakin nashtuka huku nikiwa na hofu.


Tatizo hilo limeanza mda sasa mpaka naogopa kulala chali.


Msaada wenu tafadhali.

@ mshana jr
Nitakurejea
 
Hii ya nyoka hata mimi nimeota sana mpaka leo inajirudia nakua nakimbizwa tena sio nyoka mdogo ni mkubwa sana kama anaconda wale lakini hanipatagi huwa ina tabia ya kujirudia some times.
Na hii nadhani imekuja kama mbadala wa ndoto moja ya kukimbizwa na watu siwaoni hii nimeota mara nyingi sana lakini hawanipati huwa mwishoni naingia kama kibanda cheupe najificha humo sema now imeacha mda sana ndo naota hiyo ya nyoka mara moja moja.
 
 
Sijui na matatizo gan wachawi, waganga na wajuvi wa njozi mnisaidie.

Kila nikilalia medulla oblongata au kulalia kisogo lazima niote ndoto za kutisha za nyoka nyoka saa nyingine kama nakua naye kitandan .

Siku nyingine naota kama huyo anataka kuningata lakin nashtuka huku nikiwa na hofu.


Tatizo hilo limeanza mda sasa mpaka naogopa kulala chali.


Msaada wenu tafadhali.

@ mshana jr
Nimejaribu kutafuta mada husika nimeikosa lakini kulala chali kuna hasara nyingi kuliko faida kiroho
Ulimwengu wa roho.. I mean wa vitu visivyoonekana uko hewani/angani.. Huku ndio kwa asilimia 90 mawasiliano yote ya wireless hufanyika
Sasa unapokuwa umelala kuna jicho la tatu huwa liko macho... Hili ndio huona kila kipitacho angani
Kwanini uote nyoka?
Kila binadamu ana wanyama wake
Mnyama amtishaye
Mnyama adui
Mnyama rafiki
Mnyama akuandamaye
Mnyama akulindaye
Roho yako inapokuwa obsessed na mnyama mmojawapo kati ya hao basi lazima atakutokea ndotoni hasa ukilala chali
 
Mimi pia, hata kujigeuza au kutingishika inakua tizi hata nimuite mtu mie nadhani ananisikia kumbe hola kinatesa sana hata kupumua kunakua kwa tabu sana sikuhizi sitaki kabisa habari za kulala chali mimi labda mchana maana nimejaribu kufanya utafiti wa kulala chali mchana kama litanikaba lakini hamna ila usiku sasa mama yangu ni balaa!!!
Yaani wewe mimi kabisa nikilala chali usiku hivyohivyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom