The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 6,191
- 13,614
Mzuqa wanajamvi
Hii hali hata sasa hivi imenitokea. Yaani nikivuta kumbukumbu ya mabaya niliyofanyiwa zamani na sasa hivi nashikwa na hasira mbaya sana. Moyo unaenda kasi nashindwa hata kupata usingizi.
Usaliti, uonevu, dhuluma na kusingiziwa. Hivi vitu vinaniuma sana. Unakuta adrenaline inapanda vibaya sana nakujikuta unawaza mabaya tu kulipiza kisasi ila baadaye ikishuka unajikuta umepoa. Ila sasa kila mara hizi kumbukumbu zinajirudiaga kila siku.
Hapa ndio Mwenyezi Mungu anahitajika sana. Kuna binadamu ni waonevu sana yani nikikumbuka. Watu hawajui duniani tunapita tu.
Hii hali hata sasa hivi imenitokea. Yaani nikivuta kumbukumbu ya mabaya niliyofanyiwa zamani na sasa hivi nashikwa na hasira mbaya sana. Moyo unaenda kasi nashindwa hata kupata usingizi.
Usaliti, uonevu, dhuluma na kusingiziwa. Hivi vitu vinaniuma sana. Unakuta adrenaline inapanda vibaya sana nakujikuta unawaza mabaya tu kulipiza kisasi ila baadaye ikishuka unajikuta umepoa. Ila sasa kila mara hizi kumbukumbu zinajirudiaga kila siku.
Hapa ndio Mwenyezi Mungu anahitajika sana. Kuna binadamu ni waonevu sana yani nikikumbuka. Watu hawajui duniani tunapita tu.